Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Vipi kwa Ole?

Sijatumia public opinion haya ni maoni yangu binafsi.

Ulipaswa uniulize kwa nini nimemchagua Julian Nagelsmann? Na sio tuendelee na Ole au Mauricio Pochettino?

Nimetumia mathematical model approach kumchagua Julian Nagelsmann dhidi ya niliomshindanisha nao akiwemo Ole na Mauricio Pochettino.

Evaluation index zangu zilikuwa muda wa ukocha, asilimia za ushindi, mara walizoingia mashindano makubwa (UCL) na kiwango cha uwekezaji wa fedha ktk vikosi vyao.

Nilipotumia hivyo vigezo hapo juu nikaona Julian (56%) alianza akafuatiwa na Mauricio (47%) na wa mwisho Ole (43%). Hapa nimefanya selection kwa kutumia namba tu. (evaluation index zangu zilikuwa nne tu)

Kigezo kikubwa kilichoni-trigger ni mapungufu tulinayo kwa sasa na benchi letu la ufundi yaani upangaji wa kikosi na usimamizi wa mchezo, kujua nini kifanyike kwa sasa na nani aingie au atoke.

Haya ni maoni yangu binafsi maana uliniuliza nani anafaa kumbadili Ole. Nilimchagua Julian kwa kutumia vigezo vinne na uwezo wake wa game management skills sikuangalia umri wake.
Ni kocha mzuri ila sidhani kama ataweza kuendana na pressure ya kuwa manager manchester united, kile kiti ni cha moto sana, hacha tu Joh
Kuna kipindi tulikua tunapata matokeo mabaya mfululizo pressure kwa OGS ikawa kubwa mpaka akawa mwekundu, hata nywele akawa hachani
 
Aston villa 3-0 Crystal Palace (FT)
Arsenal 2-0 Chelsea (HT)View attachment 1659763
Kwa uzembe wa ole wa kuchagua kikosi sahihi kwenye mechi muhimu anazidiwa akil had na kocha wa aston villa

Niliwahi kusema humu Ole ni bingwa wa kushinda mech zisizo na faida linapokuja suala la mech za muhimu anakuja na kikosi cha ajabu mno

Mech ya Rb na ya leo ni ushahidi hamna kocha makini anaetaka matokeo akaanza na kikosi cha leo ule ni utani sana hata nafasi ya kushinda vikombe anapoteza hajui kupaumbele chake ni nini

James ni wa carabao na fa huku Epl weka kikosi imara kaenda kufanya mambo kama yupo kwenye ligi ya under 23
 
Ni kocha mzuri ila sidhani kama ataweza kuendana na pressure ya kuwa manager manchester united, kile kiti ni cha moto sana, hacha tu Joh
Kuna kipindi tulikua tunapata matokeo mabaya mfululizo pressure kwa OGS ikawa kubwa mpaka akawa mwekundu, hata nywele akawa hachani
hachani nywele
 
Damn nahisi tumekosa ushindi kwa uzembe. Yaani Daniel James anaanza badala ya kina pobga, de beek, Mata na Cavan?
James, Martial, Shaw hawa wote hawana sifa za kuanza ila ndio kila kitu kwa Ole.

Rashford sijui atakomaa lini.. anakosa chance za wazi sana yeye na Tonny.. (Utd inakosa muuaji mwenye kama ya CHICHARITO kipindi kile.

Hata kama atakuja kocha mpya,. Bado hawezi kuwa na mizigo kama LINDELOF, BISSAKA na hao nilowataja hapo juu.
 
nitawalaumu zaidi washambuliaji kuliko safu ya ulinzi kwa haya matokeo yaliopatikana mchana wa leo, ukiangalia goli la kwanza limetokana na madhaifu ya bruno na goli la pili tumeshuhudia ubora wa vardy kwa kuweza kuwakimbia walinzi na kuiwahi krosi ilioonekana kuwa ni nyepesi.

achana na goli za leicester, timu yetu bado inasumbuliwa na tatizo la umaliziaji na ukiangalia nafasi tunazotengeneza kwa takribani kila mechi haziendani kabisa na kiwango cha magoli yanayofungwa.

kinachostaajabisha msimu uliopita tulikuwa na safu bora sana ya ushambuliaji Rashford na martial were very deadly, bila ya kumsahau greenwood aliyekuwa na takwimu nzuri sana ya kufunga magoli kwa kuangalia nafasi alizokuwa akizipata.

msimu huu tumemuongeza mchezaji mwenye uzoefu pale mbele ili tuongeze nambari za magoli ya kufunga lakini wachezaji hawa waliokuwepo ndio wameshindwa kuendana na kasi ya msimu uliopita ya kufunga magoli.
 
nitawalaumu zaidi washambuliaji kuliko safu ya ulinzi kwa haya matokeo yaliopatikana mchana wa leo, ukiangalia goli la kwanza limetokana na madhaifu ya bruno na goli la pili tumeshuhudia ubora wa vardy kwa kuweza kuwakimbia walinzi na kuiwahi krosi ilioonekana kuwa ni nyepesi.

achana na goli za leicester, timu yetu bado inasumbuliwa na tatizo la umaliziaji na ukiangalia nafasi tunazotengeneza kwa takribani kila mechi haziendani kabisa na kiwango cha magoli yanayofungwa.

kinachostaajabisha msimu uliopita tulikuwa na safu bora sana ya ushambuliaji Rashford na martial were very deadly, bila ya kumsahau greenwood aliyekuwa na takwimu nzuri sana ya kufunga magoli kwa kuangalia nafasi alizokuwa akizipata.

msimu huu tumemuongeza mchezaji mwenye uzoefu pale mbele ili tuongeze nambari za magoli ya kufunga lakini wachezaji hawa waliokuwepo ndio wameshindwa kuendana na kasi ya msimu uliopita ya kufunga magoli.
Mbinu za kocha pia mkuu hadi muda huu hata bruno haijui namba yake na ni ipi combination yake bora
Kila mech kikosi kipya
 
James, Martial, Shaw hawa wote hawana sifa za kuanza ila ndio kila kitu kwa Ole.

Rashford sijui atakomaa lini.. anakosa chance za wazi sana yeye na Tonny.. (Utd inakosa muuaji mwenye kama ya CHICHARITO kipindi kile.

Hata kama atakuja kocha mpya,. Bado hawezi kuwa na mizigo kama LINDELOF, BISSAKA na hao nilowataja hapo juu.
Victor namtetea yupo vizur unajua kukosa kikos cha kwanza wachezaj wanayumba? Hebu fikiria leo james alicheza upande wa lindelof hiv hawa waliwah kucheza pamoja lini upande wa kulia?
 
James, Martial, Shaw hawa wote hawana sifa za kuanza ila ndio kila kitu kwa Ole.
Mbinu za kocha pia mkuu hadi muda huu hata bruno haijui namba yake na ni ipi combination yake bora
binafsi nimeshamuelewa Ole anachokifanya pale klabuni.
  1. telles na mata ndio wachezaji pekee ambao hawana uhakika wa kuanza mechi inayofuata pindi inapotokezea mechi iliopita wamecheza vizuri
  2. hivyo basi nilishafahamu mapema sana ya kwamba daniel james atapewa nafasi mechi ya leo pasina kuangalia adui tunayecheza naye.
nawaombeni na nyinyi mulichunguze kwa kina hili suala la kupanga mchezaji kimazowea
ole na frank lampard ni ndugu wawili wasiojuana,
 
binafsi nimeshamuelewa Ole anachokifanya pale klabuni.
  1. telles na mata ndio wachezaji pekee ambao hawana uhakika wa kuanza mechi inayofuata pindi inapotokezea mechi iliopita wamecheza vizuri
  2. hivyo basi nilishafahamu mapema sana ya kwamba daniel james atapewa nafasi mechi ya leo pasina kuangalia adui tunayecheza naye.
nawaombeni na nyinyi mulichunguze kwa kina hili suala la kupanga mchezaji kimazowea
ole na frank lampard ni ndugu wawili wasiojuana,
Yaani bora angeanza na martial kuliko james leo katoa boko
 
Haya matakataka yamepigwa aloo
Screenshot_20201226-215828.jpg
 
Pogba na kwamba aliingia kipindi cha pili ukiangalia hata muonekano hakuwa kama mtu mwenye furaha anaheshimu mkataba kuna watu wanaanza had wale wachezaj wakomavu wanapoteza umakini na uwajibikaji ni kuvunja mioyo wachezaj
 
Back
Top Bottom