Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

2 points poorly dropped..

Hii game umakini ungeongezeka kidogo tungeshinda mapema tu.

Shaky defence..

Rashford alikuwa anapiga hatrick kabisa leo.
 
binafsi nowdays nimekua sina Imani akiwepo De gea golini....
Ni kweli ila leo sijaona makosa yake. Leo kama kawaida Ole kaendeleza ujinga muda mrefu sana Martial alipaswa kutoka.

Hata sub ya Tuanzebe aliharibu alipaswa kumrudisha Scott kati kati Eric aende kushoto sikuona umuhimu wa Tuanzebe kuingia ana makosa makosa tena ya kijinga.
 
Ni kweli ila leo sijaona makosa yake. Leo kama kawaida Ole kaendeleza ujinga muda mrefu sana Martial alipaswa kutoka.

Hata sub ya Tuanzebe aliharibu alipaswa kumrudisha Scott kati kati Eric aende kushoto sikuona umuhimu wa Tuanzebe kuingia ana makosa makosa tena ya kijinga.
Eric na Tuanzabe stupid mistakes wametunyima ushindi na Cavani alipaswa aanze magoli yote aliyokosa Rashford Cavani angelifunga
 
Aache utani Cavani aanze
Mashabiki wote duniani wameshangazwa na line up ya man u dhidi ya leceister city.

Ni kama ole alikuwa anajaribu ,hakuwa serious na matokeo.
Screenshot_2020-12-26-16-05-32.jpeg
Screenshot_2020-12-26-16-07-38.jpeg
 
Back
Top Bottom