Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
Ungeliona hii ukaiamini ungelamba odds kubwa zaidi
Ungeliona hii ukaiamini ungelamba odds kubwa zaidi
Kocha ambaye atakuwa serious,,, hiko kikosi tangia mwanzo watu wanalalamikia,,Kazi apewe nani ?
Yuko vizuri atajirekebishaKocha gani anafaa kuwa replacement ya Ole pale United ?
Jina pleaseKocha ambaye atakuwa serious,,, hiko kikosi tangia mwanzo watu wanalalamikia,,
Hivi JD alowekwa wa nn humo?
Martial aliwekwa center forward wa nn ?
Hivi kwann ole kikosi kinachoshinda na kuonyesha matokeo mazuri,,kesho anakubadilisha na kuweka kikosi kingine cha hovyo kabisa.,,
Hayupo serious na kombe,,,
Kwa matokeo na mwenendo wa ligi ulivyo,,man u haigombei top 4 tena,,inagombea ubingwa,,sasa kwann hayupo serious?
Hakika mkuu,,,Ni watu wachache wanaliona hili Ole atatuchelewesha sana. Naamini kuna siku kila mtu atakubaliana na uhalisia.
Ndiyo nani huyo ambaye yuko serious kuliko Ole ?Kocha ambaye atakuwa serious,,, hiko kikosi tangia mwanzo watu wanalalamikia,,
Hivi JD alowekwa wa nn humo?
Martial aliwekwa center forward wa nn ?
Hivi kwann ole kikosi kinachoshinda na kuonyesha matokeo mazuri,,kesho anakubadilisha na kuweka kikosi kingine cha hovyo kabisa.,,
Hayupo serious na kombe,,,
Kwa matokeo na mwenendo wa ligi ulivyo,,man u haigombei top 4 tena,,inagombea ubingwa,,sasa kwann hayupo serious?
Tuchel huyu aliyefukuzwa kwenye ligi ya wakulima ?Hakika mkuu,,,
Yaani Leo tingeshinda ,,tulashinda na kiporo tunaongoza ligi.
Huyo serious,, kabisa..tunataka kocha mwenye njaa..
Tuletee tuchel ..
Manutd wins 3 nil + O2.5, no BTTS, Manutd wins both halves Jamie Vardy will have no say, not a single shot on target, no more than 7.5 corners for either side, no penalties, no red cards, Fernandes to score at any time, Away team to dominate possession




Mimekuja kugunduwa adui wa ushindi wa man u ni ole...Eric na Tuanzabe stupid mistakes wametunyima ushindi na Cavani alipaswa aanze magoli yote aliyokosa Rashford Cavani angelifunga
Hata tuchele pia mzuri,,former PSG coach.Kocha gani anafaa kuwa replacement ya Ole pale United ?
Lini ulimwona martial anafunga kwa kichwa?Martial anao uwezo wa kumiliki mipira na pia anao mguu wa striker tatizo dogo mvivu
Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
Nakubali mkuu ,Martial anakosa sifa za strikerLini ulimwona martial anafunga kwa kichwa?
Martial ni winger na sio striker..
Tuchele ..former PSG coach.Jina please
Makosa ya Rashford kushindwa kufunga magoli mawili yanamhusu niniMimekuja kugunduwa adui wa ushindi wa man u ni ole...
Achunguzwe pengine ni undercover wa Liverpool.
Labda musimu ujao atavuruga stability ya team tuko vizuriTuchele ..former PSG coach.
Kashamshangaza leoGary Neville kaanza kumkubali OGSView attachment 1659102