radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Cavani muda wote anaanza kwenye hii timu sijajua huyu kocha akili zakeCavani na Pogba wanapasha
Cavani muda wote anaanza kwenye hii timu sijajua huyu kocha akili zakeCavani na Pogba wanapasha
Mkakati ni wawachoshe kipindi cha kwanza halafu Cavani na Pogba waje kufanya yaoMartial na james daaa kocha anapenda sana kubet
Martial ni mchezaji mzuri sana, ila anahitaji Daktari wa saikolojia, ili kuboost inner drive. Angekuwa na bidii kama Sterling au Mane, angekuwa moto sana.Kuna mchezaji anaitwa Antonio martial
Nahisi ndio mchezaji anaetukanwa sana kwa mwaka 2020
Kwani Jesse Lingard hayupo???
Kama ndio mawazo yake ya kipuuzi hivi anafeli sana we mkuu umemuona james akikimbia na mpira? HahahahahahahMkakati ni wawachoshe kipindi cha kwanza halafu Cavani na Pogba waje kufanya yao
Fred asirudi?..una utani mkuuMartial na Fred wasirudi kipindi cha pili.
Line up inanipa utata James kalivyo kachoyo nahisi mechi inakuwa ngumu




Fred mkuu?Martial na Fred wasirudi kipindi cha pili.
Tukishinda haya hutayakumbuka bado kipindi cha pili tutafunga na kushindaKama ndio mawazo yake ya kipuuzi hivi anafeli sana we mkuu umemuona james akikimbia na mpira? Hahahahahahah
Ndiyo asirudi, baada ya goli la kwanza, alikuwa anatembea na mpira. Ameniudhi sana. Pia pasi Zake zote alirudisha nyuma, mpaka waliporudisha. NimechukiaFred asirudi?..una utani mkuu
Hapana kwa james hata tukishinda utakuwa uzembe wa leicester cityTukishinda haya hutayakumbuka bado kipindi cha pili tutafunga na kushinda
Fred asirudi?..una utani mkuu
Manyumbu nani awaogopeHawa leicester hawaiogopi man u wanajiachia kwa kumiliki mpira kiasi hichi?



