Imagine zile assists alizotoa kama zingezaa magoliLeo Mc tominay katembea sana.
Kapiga mpira mkubwa sana.
Unaumwa na uso wewe..... bayern isumbue premier leaguemnawachukulia wajerumani poa sababu mnamuona Bayern ndiye bingwa kila msimu ila tambua kwamba hata Bayern apelekwe England atawasumbua kama anavyosumbua huko ujeruman
Ligi Uingereza inatimu zinazofanana viwango that's why inaonekana ni ligi ya ushindani
Ila umchukue huyo RB unaemuona poa atakuwa kama Liverpool anayeonekana bora uingereza🚮
🚶🚶🚶
Pumba kabisamnawachukulia wajerumani poa sababu mnamuona Bayern ndiye bingwa kila msimu ila tambua kwamba hata Bayern apelekwe England atawasumbua kama anavyosumbua huko ujeruman
Ligi Uingereza inatimu zinazofanana viwango that's why inaonekana ni ligi ya ushindani
Ila umchukue huyo RB unaemuona poa atakuwa kama Liverpool anayeonekana bora uingereza
![]()
utakua na njaa ww sio bure. au umepita porin ukaskia ile haruf ya waliwali nyoka anayoitoaga akitafuta kitoweoMe kuna harufu ya ubingwa naipata hapa.
Yani ubingwa una nukia kama pilau.
Trash...mnawachukulia wajerumani poa sababu mnamuona Bayern ndiye bingwa kila msimu ila tambua kwamba hata Bayern apelekwe England atawasumbua kama anavyosumbua huko ujeruman
Ligi Uingereza inatimu zinazofanana viwango that's why inaonekana ni ligi ya ushindani
Ila umchukue huyo RB unaemuona poa atakuwa kama Liverpool anayeonekana bora uingereza
![]()
Fer alitaka kumuua kipa?3rd goal. Bruno FView attachment 1655455
Kuna wajinga wenzio waliwahi kuropoka kwamba Guardiola akija EPL ataifanya ligi kua nyepesi (atabeba kila mwaka).mnawachukulia wajerumani poa sababu mnamuona Bayern ndiye bingwa kila msimu ila tambua kwamba hata Bayern apelekwe England atawasumbua kama anavyosumbua huko ujeruman
Ligi Uingereza inatimu zinazofanana viwango that's why inaonekana ni ligi ya ushindani
Ila umchukue huyo RB unaemuona poa atakuwa kama Liverpool anayeonekana bora uingereza
![]()
Hakika