Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Man Utd vs Leeds

Mechi inayochezwa leo sio tu ni ya kutafuta point 3, ni mechi ya Kihistoria ni mechi inayotambuliwa kama Rose Rivarly

Asili ya uhasama wa Leeds na Man utd ni Leeds kutoka mji wa Yorkshire na Man Utd kutoka mji wa Lancaster ambao karne ya 15 watawala wa maeneo hayo 2 walipigana vita kupigania kiti cha kuongoza Uingereza (War of Roses)

Japo Man Utd kwa miaka ya hivi karibuni amekuwa akimuhesabu Leeds kama mpinzani mkubwa kwenye soka nyuma ya Liverpool, City, Chelsea kisha Arsenal... Leeds kwao Man ni hasimu namba 1

Mechi ya leo ni ngumu, japo nina imani tutapata ushindi kutokana na tabia ya Leeds/Bielsa kufunguka.

GGMU
 
Kujadili Arsenal katika uzi wa United ni kutudharau sana mashabiki wa United.

Nendeni kwenye jukwaa lenu mkajadili relegation battle.
Hahahaha daaa mwana hapa umetuvua nguo washika bunduki wa london
 
Sijui Mkuu, mimi nilihisi angeweza kuchukua kocha wa Bayern.

Lakini pia swala la Bielsa kuwa kwenye top 3 nilishangaa.
Misimu miwili kafanya kazi ya maana championship kocha wa leeds pia hata klopp mi sioni kama kuna shida ujue yule jamaa kaandaa timu ya ushindi kwa kuijenga mwenyewe halafu nani alitegemea liverpool kuamka haraka kama sasa? Buyern munich tayar walikuwa na wachezaj wazur sana tena wakomavu kocha kumuacha bila tuzo sioni kama inshu mm mwenyewe ningekwenda na klopp lig ya ujeruman inajulikana uefa mech 8 njoo epl uone huo ni mtazamo wangu.
 
Man Utd vs Leeds

Mechi inayochezwa leo sio tu ni ya kutafuta point 3, ni mechi ya Kihistoria ni mechi inayotambuliwa kama Rose Rivarly

Asili ya uhasama wa Leeds na Man utd ni Leeds kutoka mji wa Yorkshire na Man Utd kutoka mji wa Lancaster ambao karne ya 15 watawala wa maeneo hayo 2 walipigana vita kupigania kiti cha kuongoza Uingereza (War of Roses)

Japo Man Utd kwa miaka ya hivi karibuni amekuwa akimuhesabu Leeds kama mpinzani mkubwa kwenye soka nyuma ya Liverpool, City, Chelsea kisha Arsenal... Leeds kwao Man ni hasimu namba 1

Mechi ya leo ni ngumu, japo nina imani tutapata ushindi kutokana na tabia ya Leeds/Bielsa kufunguka.

GGMU
Ila wale huwa kufunga goli 3 au 4 sio shida je sisi tunaweza kwenda na huo mwendo? Hahahaha
 
Leeds wanafunguka sana, wanashambulia sana, wanacheza vizuri

United ya sasa inapenda timu za namna hiyo, wachezaji wa United wenye kasi wanapenda kuachiwa space ili wakimbie nyuma ya wachezaji wa timu pinzani. Bruno anapenda kudondosha mipira namna hiyo.

Leeds wanaweza kutufunga goli/magoli lakini United anaweza kushinda sababu ya style ya uchezaji wake na quality ya wachezaji wetu ambayo ipo juu sana ukilinganisha na wachezaji wa Leeds



Ila wale huwa kufunga goli 3 au 4 sio shida je sisi tunaweza kwenda na huo mwendo? Hahahaha
 
Hahahaha daaa mwana hapa umetuvua nguo washika bunduki wa london
Labda ameongea kiutani lakini sio sawa, tukumbuke form is temporary but class is permanent. Kwa hii EPL ukishinda mechi tatu tu mfululizo upo nafasi ya sita kwahyo Arsenal hajachelewa sana, ikiwa tu watamuondoa Arteta na kuleta coach mwingine mwenye uzoefu zaidi yake. Nje ya hapo tutazidi kuwahurumia kila siku maana kwasasa it's not funny wakifungwa kama zamani na kwa form wanayoenda nayo, financially as a club wata-drop sana even though Wenger alikuwa mtaalamu wa kubalance vitabu.
 
Matchday..

Nadhani ni 3 points kwenye pocket zetu leo baadae..but wait,huwezi kujua utapata nini na hii United ya sasa,so let's stay calm.

Halafu sioni haja ya kutumia 2 defensive mids kwenye mechi nyingi tunazocheza..Pogba na Fernandes waanze..Fred kama yupo fit acheze nyuma yao..Hatuwezi kuwa na viungo non-offensive wengi,tunacompromise ushambuliaji wetu..mbele Greenwood+Martial+Rashford

Backline yetu nayo inahitaji maboresho kiufundi na kiu-uongozi..Backline yetu sio worse lakini sio the best.

Ole ajaribu kuwaweka offensive players wengi as he can kwani ndo namna ambayo tunaweza kuwin games nyingi

======

Ole ana virecord fulani anajiwekea unaweza kuviona uchwara lakini..Sema not good enough from the babyface assassin

✓6 away win in a row..

✓3+ goals scored in each game

✓Zote ni comebacks
 
Back
Top Bottom