Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sijaelewa bado. Unaamini tume-improve tulipoishia msimu uliopita?

Nimependa uchambuzi wako ila umeweka mahaba mbele sana kuliko uhalisia.

Angalia kwa utulivu sana mwenendo wa Ole bila upenzi utagundua tuna bahatisha bahatisha ni kama hajui nini kitatokea kila tukiingia uwanjani ni tofauti kabisa na alipokuwa anamaliza msimu uliopita. Technically, we're not improving.

Hata kesho, hatujui kama tutacheza europa au tutaendelea kwa ssb with Ole hujui nini kitatokea. Japo tuna nyenzo zote za kutufanya tushinde ila bado unaweka nafasi ya mashaka dhidi ya kocha.
Ni timu gani ambayo ikicheza na Rb leipzig ina uhakika? Even bayern munich mabingwa wa ulaya hawana uhakika wakiingia uwanjani na Rb leipzig. Kwangu mimi hata kama tunafungwa hakuna lolote la kuwa Ashamed.

And yes tuna improve, mechi 38 zilizopita toka juzi tuna point 72, tumemaliza msimu na point 66, hii inamaanisha nini? Kwamba tunafanya vizuri zaidi kuliko muda kama huu msimu uliopita.

Baada ya mechi ya 10 msimu uliopita tulikuwa na point 13 tu ila msimu huu baada ya mechi 10 tuna point 19 je sio improvement?

Msimu uliopita mechi 10

IMG_20201207_195020.jpg


Msimu huu mechi 10
IMG_20201207_195139.jpg


Pia msimu uliopita baada ya mechi 10 tulikuwa tumepitwa point 15 na kiongozi wa juu ila msimu huu ni point 5 na mechi 1 kiporo.

Hapa hata sija consider fitness yetu mwanzo wa msimu.
 
My Starting XI vs RB Leipzig kesho kule Ujerumani...Jasho litatutoka

Henderson

Lindelof Maguire Tuanzebe

AWB Scott Matic Telles

Fernandes

Greenwood Rashford


Ebanaaeee sipatii picha kule kutoku-make to final 16 za UCL kesho..inabidi tuwe timamu sana kimbinu na kiutulivu.

Greenwood na Rashford inabidi wawe clinical sana kesho.

Pogba akiproduce perfomance ya mechi iliyopita kwenye hii gemu basi tutakuwa eneo salama..

Ole hii gemu ni ya muhimu sana,ushindi ukikosa basi hata draw..tofauti na hapo naona msimu wetu utakuwa umeisha..motisha itatoka wapi?

Ikumbukwe ile gemu ya kule Instanbul
 
Sina imani na Ole. Tunafungika kirahisi sana kwa uzembe wa safu ya ufundi. Mf. Mechi dhidi ya PSG, Crystal Palace, Arsenal, Instanbul.

Mwalimu mwenye mikakati ya makombe hadondoshi alama kiboya boya. Sioni hili kwa Ole.
Kwamba ole alimtuma Pogba asababishe ile penalty?
 
Usisahau pia vilaza Arsenal walitushika vilivyo..we didn't look like we can score a goal.

Hii gemu inaniuma sana..
Japo tulicheza vibaya ndio ila tulikuwa better team, walimaliza kipindi cha kwanza na 0 shot on target. Nakumbuka kipindi cha 2 baadae tena ndio wanamtest de gea na shuti la partey.
 
My Starting XI vs RB Leipzig kesho kule Ujerumani...Jasho litatutoka

Henderson

Lindelof Maguire Tuanzebe

AWB Scott Pogba Telles

Fernandes

Greenwood Rashford


Ebanaaeee sipatii picha kule kutoku-make to final 16 za UCL kesho..inabidi tuwe timamu sana kimbinu na kiutulivu.

Greenwood na Rashford inabidi wawe clinical sana kesho.

Pogba akiproduce perfomance ya mechi iliyopita kwenye hii gemu basi tutakuwa eneo salama..

Ole hii gemu ni ya muhimu sana,ushindi ukikosa basi hata draw..tofauti na hapo naona msimu wetu utakuwa umeisha..motisha itatoka wapi?

Ikumbukwe ile gemu ya kule Instanbul
Mimi siku zote siiamini midfield ya fred ama mc tominay na pogba. Unless james anacheza pengine tukarudia diamond.
 
Kwenye mechi ya kwanza . Huyo mtanga alicheza.. huyo marcel alicheza. Walikuwa wapi wasishinde?
Sorry bwana sikuwa namaanisha kuwa uwepo wake (Sabitzer) ndiyo utafanya mpigwe. Hata PSG ilikuwa na Neimar na Mbappe na mkawapiga. Nilikuwa nasema kuwa ni mchezaji mzuri wa kumchunga.

Good luck, japo najua mtapigwa tu.
 
Japo tulicheza vibaya ndio ila tulikuwa better team, walimaliza kipindi cha kwanza na 0 shot on target. Nakumbuka kipindi cha 2 baadae tena ndio wanamtest de gea na shuti la partey.
Hizi ndo zile analysis za mmetufunga ila chenga tumewala.
 
Back
Top Bottom