Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,300
- 46,749
Mino Raiola to Tuttosport: “I can say that it’s over for Paul Pogba at Manchester United”


Mino with another crackerMino Raiola to Tuttosport: “I can say that it’s over for Paul Pogba at Manchester United”


Mino with another cracker
amekuja na hadithi zake muda mbaya, hakuna anayemuwaza pogba kwa sasa kama ni injini ya timuMino with another cracker
Bruno atamkimbiza mteja wa Mino pale United.jana baada ya pogba kufunga goli tu huyu jamaa ameanza kelele leo..Mino Raiola smtymz anazingua
Ni timu gani ambayo ikicheza na Rb leipzig ina uhakika? Even bayern munich mabingwa wa ulaya hawana uhakika wakiingia uwanjani na Rb leipzig. Kwangu mimi hata kama tunafungwa hakuna lolote la kuwa Ashamed.Sijaelewa bado. Unaamini tume-improve tulipoishia msimu uliopita?
Nimependa uchambuzi wako ila umeweka mahaba mbele sana kuliko uhalisia.
Angalia kwa utulivu sana mwenendo wa Ole bila upenzi utagundua tuna bahatisha bahatisha ni kama hajui nini kitatokea kila tukiingia uwanjani ni tofauti kabisa na alipokuwa anamaliza msimu uliopita. Technically, we're not improving.
Hata kesho, hatujui kama tutacheza europa au tutaendelea kwa ssb with Ole hujui nini kitatokea. Japo tuna nyenzo zote za kutufanya tushinde ila bado unaweka nafasi ya mashaka dhidi ya kocha.
Tuna injini ya timu ambayo huyo mteja wake hajawahi kuwa praised kiasi hiki..amekuja na hadithi zake muda mbaya, hakuna anayemuwaza pogba kwa sasa kama ni injini ya timu
Kwamba ole alimtuma Pogba asababishe ile penalty?Sina imani na Ole. Tunafungika kirahisi sana kwa uzembe wa safu ya ufundi. Mf. Mechi dhidi ya PSG, Crystal Palace, Arsenal, Instanbul.
Mwalimu mwenye mikakati ya makombe hadondoshi alama kiboya boya. Sioni hili kwa Ole.
Usisahau pia vilaza Arsenal walitushika vilivyo..we didn't look like we can score a goal.Kwamba ole alimtuma Pogba asababishe ile penalty?
Japo tulicheza vibaya ndio ila tulikuwa better team, walimaliza kipindi cha kwanza na 0 shot on target. Nakumbuka kipindi cha 2 baadae tena ndio wanamtest de gea na shuti la partey.Usisahau pia vilaza Arsenal walitushika vilivyo..we didn't look like we can score a goal.
Hii gemu inaniuma sana..
Mimi siku zote siiamini midfield ya fred ama mc tominay na pogba. Unless james anacheza pengine tukarudia diamond.My Starting XI vs RB Leipzig kesho kule Ujerumani...Jasho litatutoka
Henderson
Lindelof Maguire Tuanzebe
AWB Scott Pogba Telles
Fernandes
Greenwood Rashford
Ebanaaeee sipatii picha kule kutoku-make to final 16 za UCL kesho..inabidi tuwe timamu sana kimbinu na kiutulivu.
Greenwood na Rashford inabidi wawe clinical sana kesho.
Pogba akiproduce perfomance ya mechi iliyopita kwenye hii gemu basi tutakuwa eneo salama..
Ole hii gemu ni ya muhimu sana,ushindi ukikosa basi hata draw..tofauti na hapo naona msimu wetu utakuwa umeisha..motisha itatoka wapi?
Ikumbukwe ile gemu ya kule Instanbul
sijui upande wa kushoto atacheza nani....
- telles
- daniel james
- rashford ili greenwood awe striker
Bruno atamkimbiza mteja wa Mino pale United.
auzwe tu
Sorry bwana sikuwa namaanisha kuwa uwepo wake (Sabitzer) ndiyo utafanya mpigwe. Hata PSG ilikuwa na Neimar na Mbappe na mkawapiga. Nilikuwa nasema kuwa ni mchezaji mzuri wa kumchunga.Kwenye mechi ya kwanza . Huyo mtanga alicheza.. huyo marcel alicheza. Walikuwa wapi wasishinde?
Hizi ndo zile analysis za mmetufunga ila chenga tumewala.Japo tulicheza vibaya ndio ila tulikuwa better team, walimaliza kipindi cha kwanza na 0 shot on target. Nakumbuka kipindi cha 2 baadae tena ndio wanamtest de gea na shuti la partey.
Na tukipigwa chenga tukafunga sisi Ole HajuiHizi ndo zile analysis za mmetufunga ila chenga tumewala.
Sorry,James is uselessMimi siku zote siiamini midfield ya fred ama mc tominay na pogba. Unless james anacheza pengine tukarudia diamond.