Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Solskjaer is looking to bolster his right back options and #mufc are ‘monitoring’ Atletico Madrid’s Kieran Trippier. [Telegraph]

The best option ever
kieran trippier ameshatimiza miaka 30 ya kuzaliwa, kwa mchezaji wa kiengereza na mwenye uzoefu wa kimashindano huenda mshahara wake ukafikia paundi laki 1 hadi laki 1.5

ni bora tuwekeze kwa mlinzi mwengine atakayeleta ushindani utakaodumu kwa muda mrefu,
nimeangalia zaidi kigezo cha umri mbele ya uwezo binafsi wa mchezaji husika.
 
MAshabiki wa Manchester bwana !

Timu ikishinda wame shinda wachzaji ila ikifungwa au kusare sio wachezaj ni ole na bench lake la ufundi

Sometimes tuwe tuna appreciate jamani khaa

Weekend tulikua down 1-0 ht ole katoa Cavan na DVB na sub zake zote zime Fanya kitu eg mata laasiast ,Bruno kaasisst ,ford kafung
Kipi sasa huelewi hapo? Mana yake kocha hana mchango ktk matokeo chanya ya timu badala yake kwenyeatokeo hasi anachangia kwa sababu ndio kazi yake kuhakikisha timu inacheza vizuri na kushinda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye mechi ya kwanza . Huyo mtanga alicheza.. huyo marcel alicheza. Walikuwa wapi wasishinde?
Game ile imeshapita mkuu, hii ni nyingine kabisa tena ya mwisho (jasho na damu)

Tusitegemee mbinu zilezile, RB sio wa kubeza
 
Hivi si juzi tu Hapa analyst wote walitaribia Man United hatoboi kwenye kundi la Rb leipzig na Psg? Leo limekuwa kundi laini? Hivi kuna kundi gumu kushinda letu Uefa msimu huu?

Nyie jamaa nimewavulia kofia.

Na hao wachezaji tulio nao wametoka wapi? Mbinguni? Si kocha amewasajili?

Lvg alikuwa na Di maria top Assist wa ulaya nzima, Mou akamnunua Mikhi top Assist wa Ulaya nzima kwa mara ya pili ila wote hawakutusaidia, james Rodriguez alikuwa offered kwetu, mchezaji alieongoza ulaya nzima kwa kutengeneza nafasi ila ole hakumnunua, pia walikuwemo wachezaji wa ndani kama Grealish na Madison wote walikuwa linked na Man united, ni Epl proven, wote hao Ole aliachana nao akamchukua bruno, alijua Ole anachotaka ni nini.

Kuhusu free kick hili ni graph linaonesha jinsi gani tulivyo improve
View attachment 1643849
Msimu uliopita tulikuwa wa mwisho zaidi (timu bora zaidi) kwenye kuruhusu nafasi za vichwa, na yote hii ni yule musiyempenda Maguire ndio ame tu improve.

Na hata msimu huu tupo wa 18, japo tumeruhusu magoli 2 ya Corner mechi 2 zilizopita ila still ni ya 3 kwa ubora wa kuokoa mipira ya Vichwa.

Ukiondoa Timu ya Mou iliokuwa na magiant tupu msimu ule wa ibra miaka yote toka Fergie aondoke tulikuwa vibaya kwenye mipira ya vichwa, ilifika stage timu hata ikipata foul katikati ya uwanja watu wanajaa golini kwetu, kila foul ni kona.

Na hata mechi iliopita na west ham walipiga cross nyingi sana, pogba, maguire na lindelof wamefanya headed clearence nyingi.
Sijaelewa bado. Unaamini tume-improve tulipoishia msimu uliopita?

Nimependa uchambuzi wako ila umeweka mahaba mbele sana kuliko uhalisia.

Angalia kwa utulivu sana mwenendo wa Ole bila upenzi utagundua tuna bahatisha bahatisha ni kama hajui nini kitatokea kila tukiingia uwanjani ni tofauti kabisa na alipokuwa anamaliza msimu uliopita. Technically, we're not improving.

Hata kesho, hatujui kama tutacheza europa au tutaendelea kwa ssb with Ole hujui nini kitatokea. Japo tuna nyenzo zote za kutufanya tushinde ila bado unaweka nafasi ya mashaka dhidi ya kocha.
 
kieran trippier ameshatimiza miaka 30 ya kuzaliwa, kwa mchezaji wa kiengereza na mwenye uzoefu wa kimashindano huenda mshahara wake ukafikia paundi laki 1 hadi laki 1.5

ni bora tuwekeze kwa mlinzi mwengine atakayeleta ushindani utakaodumu kwa muda mrefu,
nimeangalia zaidi kigezo cha umri mbele ya uwezo binafsi wa mchezaji husika.
Nafikiri Man United bado wanaheshimu hatua anazozipiga Brandon William's kuelekea kuwa mlinzi tegemeo upande wa kulia lakini pia wanaheshimu hatua anazopiga AWB kuelekea kuwa mlinzi bora wa kulia.

Hivyo kuja kwa Kierian Trippier ni suluhisho la muda mfupi tu na kuongeza dimension mpya upande wa kulia.

Kiuchezaji Kierian ni mchezaji tofauti sana na Bissaka pamoja na Brandon.

Kama ni taarifa za kweli aje tu.
 
Sina imani na Ole. Tunafungika kirahisi sana kwa uzembe wa safu ya ufundi. Mf. Mechi dhidi ya PSG, Crystal Palace, Arsenal, Instanbul.

Mwalimu mwenye mikakati ya makombe hadondoshi alama kiboya boya. Sioni hili kwa Ole.
Kufungwa na PSG wala siyo jambo la kushitukiza ukiziAa111
 
Hivyo kuja kwa Kierian Trippier ni suluhisho la muda mfupi tu na kuongeza dimension mpya upande wa kulia.

Kiuchezaji Kierian ni mchezaji tofauti sana na Bissaka pamoja na Brandon.
huenda pia thamani yake itakuwa ni ndogo kwa sababu mkataba wake ni mwaka mmoja ndio uliobakia
 
Back
Top Bottom