Hivi si juzi tu Hapa analyst wote walitaribia Man United hatoboi kwenye kundi la Rb leipzig na Psg? Leo limekuwa kundi laini? Hivi kuna kundi gumu kushinda letu Uefa msimu huu?
Nyie jamaa nimewavulia kofia.
Na hao wachezaji tulio nao wametoka wapi? Mbinguni? Si kocha amewasajili?
Lvg alikuwa na Di maria top Assist wa ulaya nzima, Mou akamnunua Mikhi top Assist wa Ulaya nzima kwa mara ya pili ila wote hawakutusaidia, james Rodriguez alikuwa offered kwetu, mchezaji alieongoza ulaya nzima kwa kutengeneza nafasi ila ole hakumnunua, pia walikuwemo wachezaji wa ndani kama Grealish na Madison wote walikuwa linked na Man united, ni Epl proven, wote hao Ole aliachana nao akamchukua bruno, alijua Ole anachotaka ni nini.
Kuhusu free kick hili ni graph linaonesha jinsi gani tulivyo improve
View attachment 1643849
Msimu uliopita tulikuwa wa mwisho zaidi (timu bora zaidi) kwenye kuruhusu nafasi za vichwa, na yote hii ni yule musiyempenda Maguire ndio ame tu improve.
Na hata msimu huu tupo wa 18, japo tumeruhusu magoli 2 ya Corner mechi 2 zilizopita ila still ni ya 3 kwa ubora wa kuokoa mipira ya Vichwa.
Ukiondoa Timu ya Mou iliokuwa na magiant tupu msimu ule wa ibra miaka yote toka Fergie aondoke tulikuwa vibaya kwenye mipira ya vichwa, ilifika stage timu hata ikipata foul katikati ya uwanja watu wanajaa golini kwetu, kila foul ni kona.
Na hata mechi iliopita na west ham walipiga cross nyingi sana, pogba, maguire na lindelof wamefanya headed clearence nyingi.