We waache mkuu kila siku wanategemea comeback ...ngoja Leo tuwaoneLeo mnaenda kuaga uefa na kuenda kucheza futuhi rasmii

★
mkuu kwani hapo amekosea nini...!!! mbona ameongea kitu cha kawaida kabisa!
AU WEWE UMEELEWAJE!?



game itakuwa ngumu lakini Man U anashinda au anadrooHizi pressure zote kazitaka ole tu
Ona sasa mnaenda kuangalia mpira huku mmeshikilia p**mbu
Kuna watu leo wanapungua uzito Kama kilo tatu ndan ya dakika 90

Kama vipi twende kibanda umiza. Maana mechi inaonyeshwa channel namba 222 hivyo kwa wenye vifurushi haba, leo tunajumuika na wa vibanda umiza.link jamani dstv yangu hii mechi haionyeshwi
Hapo angesimama cavan ingekuwa uhakika kwa cross za teles.Yeeees...leo uhakikaView attachment 1644912
We are United! We need to back him!(ole) , afukuzwe wewe ukawe kocha ? Huoni ht some improvement !?? Come on buddyLeo ndio ile siku ambayo nilikua naisubiria kila siku jamaa afukuzwe
Link zipo hesgoal.comWazee wa link mtusaidie basi