dont trust any 1
JF-Expert Member
- Jun 30, 2015
- 250
- 207
Yaani kapanga kikosi kizuri ila huyu OLE kwenye ishu ya kufanya SUB sijui kama hawaogopi wachezaji
Ndo maana nasema hii gemu ya leo ni ya kushinda ili tuwe na nafasi ya kuwa kufuzu na kuwa wa kwanza kwenye kundi
Anatuchania mikeka yetu huyuNilishangaa sana kipindi cha pili kumwona Fred hata camera zilikuwa zikimfuatilia wakati anaingia uwanjani.
Fikiria commentator walibaki wakishangaa,wachezaji wa kuchukua nafasi yake wapo eti sasa hivi ndio anawaingiza wakati tuko nyuma kwa bao moja na mchezaji mmoja pungufu.
Sijawahi kuona uzembe wa kiwango hiki tena katika level ya champions league!.Nadhani hii nafasi ni kubwa sana kwa Ole,amekuwa na tabia ya kuchelewa kuchukua maamuzi.
Nilishangaa sana kipindi cha pili kumwona Fred hata camera zilikuwa zikimfuatilia wakati anaingia uwanjani.
Fikiria commentator walibaki wakishangaa,wachezaji wa kuchukua nafasi yake wapo eti sasa hivi ndio anawaingiza wakati tuko nyuma kwa bao moja na mchezaji mmoja pungufu.
Sijawahi kuona uzembe wa kiwango hiki tena katika level ya champions league!.Nadhani hii nafasi ni kubwa sana kwa Ole,amekuwa na tabia ya kuchelewa kuchukua maamuzi.
Nilishangaa sana kipindi cha pili kumwona Fred hata camera zilikuwa zikimfuatilia wakati anaingia uwanjani.
Fikiria commentator walibaki wakishangaa,wachezaji wa kuchukua nafasi yake wapo eti sasa hivi ndio anawaingiza wakati tuko nyuma kwa bao moja na mchezaji mmoja pungufu.
Sijawahi kuona uzembe wa kiwango hiki tena katika level ya champions league!.Nadhani hii nafasi ni kubwa sana kwa Ole,amekuwa na tabia ya kuchelewa kuchukua maamuzi.
Nina hofu ya kufungwa la tatu
Ole ni mpuuzi wa kiwango cha SGR
daaah ncheka kama mazuri tulaleni tutachambua kesho nahasira vibaya sana★
Nina hofu ya kufungwa la tatu

ila Martial alikosa pale dah. Naona dalili ya Europa league maana hiyo game ijayo nayo moto. Qualification inakuwaje hapo?
9 points
9 points
9 points
3 points.
Duh