Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nilishangaa sana kipindi cha pili kumwona Fred hata camera zilikuwa zikimfuatilia wakati anaingia uwanjani.

Fikiria commentator walibaki wakishangaa,wachezaji wa kuchukua nafasi yake wapo eti sasa hivi ndio anawaingiza wakati tuko nyuma kwa bao moja na mchezaji mmoja pungufu.

Sijawahi kuona uzembe wa kiwango hiki tena katika level ya champions league!.Nadhani hii nafasi ni kubwa sana kwa Ole,amekuwa na tabia ya kuchelewa kuchukua maamuzi.
 
Nilishangaa sana kipindi cha pili kumwona Fred hata camera zilikuwa zikimfuatilia wakati anaingia uwanjani.

Fikiria commentator walibaki wakishangaa,wachezaji wa kuchukua nafasi yake wapo eti sasa hivi ndio anawaingiza wakati tuko nyuma kwa bao moja na mchezaji mmoja pungufu.

Sijawahi kuona uzembe wa kiwango hiki tena katika level ya champions league!.Nadhani hii nafasi ni kubwa sana kwa Ole,amekuwa na tabia ya kuchelewa kuchukua maamuzi.
Anatuchania mikeka yetu huyu
 
Chukue Giroud, leo katupia goli 4 peke yake
Nilishangaa sana kipindi cha pili kumwona Fred hata camera zilikuwa zikimfuatilia wakati anaingia uwanjani.

Fikiria commentator walibaki wakishangaa,wachezaji wa kuchukua nafasi yake wapo eti sasa hivi ndio anawaingiza wakati tuko nyuma kwa bao moja na mchezaji mmoja pungufu.

Sijawahi kuona uzembe wa kiwango hiki tena katika level ya champions league!.Nadhani hii nafasi ni kubwa sana kwa Ole,amekuwa na tabia ya kuchelewa kuchukua maamuzi.
 
Acha kumkaripia baby face
Nilishangaa sana kipindi cha pili kumwona Fred hata camera zilikuwa zikimfuatilia wakati anaingia uwanjani.

Fikiria commentator walibaki wakishangaa,wachezaji wa kuchukua nafasi yake wapo eti sasa hivi ndio anawaingiza wakati tuko nyuma kwa bao moja na mchezaji mmoja pungufu.

Sijawahi kuona uzembe wa kiwango hiki tena katika level ya champions league!.Nadhani hii nafasi ni kubwa sana kwa Ole,amekuwa na tabia ya kuchelewa kuchukua maamuzi.
 
Ole ni Kocha mpuuzi kabisa.. hapo hata Juma Mgunda angejua nini cha kufanya baada ya kuona DM wake kala njano kipindi cha kwanza.
 
Qualification inakuwaje hapo?
9 points
9 points
9 points
3 points.

Duh
 
Tulale sasa Ole sendeka ila Martial alikosa pale dah. Naona dalili ya Europa league maana hiyo game ijayo nayo moto.
Fred aaah hata Julio kiwelo angeona kwamba alistahili sub but ole knows better allamseki.
 
Back
Top Bottom