NtYga
JF-Expert Member
- Aug 23, 2018
- 4,945
- 12,698

Why always him??..
Tumechoka jamani..
It's about time kirusi Phil Jones na Jlingz/Lingardinyo wastepup ili washinde na wao POTM
Not serious

Why always him??..
Tumechoka jamani..
It's about time kirusi Phil Jones na Jlingz/Lingardinyo wastepup ili washinde na wao POTM
Not serious
On paper EPL inabidi itoe finalist msimu huu..tukiacha bayern klabu za top five leagues nyingi zipo dhohof(Barca,Madrid n.k)..
Game saa ngapi,GGMU
Wakuu vipi mmeingia baridi nini?
Hawa wanamitindo wa Paris tunawala vichwa leo?

Ngoja gem iishe mawe muhimu mkuuTukimfunga PSG leo itakuwa salamu kwa wenzetu kwamba Wasituchukulie poa.....Kama ndoto hivi ila kwa mbaaaaaaaaaaali, yaaan ileee mbaaali, kuna sauti za makelele ya shangwe na fujo za wanajukwaa baada ya ushindi wa Man United dhidi ya Bayern Munchen final msimu huu....The second coming of 1999
Msinipige Mawe![]()
saa tano usiku EATGame saa ngapi,
Ahsante sanasaa tano usiku EAT
Ni vizuri kuota mambo makubwaTukimfunga PSG leo itakuwa salamu kwa wenzetu kwamba Wasituchukulie poa.....Kama ndoto hivi ila kwa mbaaaaaaaaaaali, yaaan ileee mbaaali, kuna sauti za makelele ya shangwe na fujo za wanajukwaa baada ya ushindi wa Man United dhidi ya Bayern Munchen final msimu huu....The second coming of 1999
Msinipige Mawe![]()
Hakika MkuuNi vizuri kuota mambo makubwa
Tukimfunga PSG leo itakuwa salamu kwa wenzetu kwamba Wasituchukulie poa.....Kama ndoto hivi ila kwa mbaaaaaaaaaaali, yaaan ileee mbaaali, kuna sauti za makelele ya shangwe na fujo za wanajukwaa baada ya ushindi wa Man United dhidi ya Bayern Munchen final msimu huu....The second coming of 1999
Msinipige Mawe![]()
Bora mkutane na city kwan Chelsea atawanyoosha mpaka mpoteane hapo OTNdoto nzuri sana, unamtumia PSG kama kipimo cha ubora!
Kipimo cha kwanza, jiulize hawa ambao uko nao ligi moja ikatokea ukakutana nao robo au nusu utatoboa?
i.e Chelsea, Man City na Liverpool, nani unadhani ni rahisi kumtoa ikitokea mkakutana.
hawa UEFA nao wanawekaje mechi saa tano usiku?!
kuna jamaa yule anapostigi link sijui leo yuko wapNaombeni Link wakuu..