Labda UTD iwasajili wachezaji wote wa France National team waje kucheza pamoja na PP ndio ata deliver..Nakumbuka mwanzo alichezeshwa hiyo nafasi pamoja na hao madogo,hoja ikawa amezungukwa na mediocre players wakati hao hao wakimzunguka bruno tunaona ubora wake.
Bado haijulikani pogba anataka nini ili awe kwenye ubora wake.
I have much faith on this Kid...Ngoja tusubiri aje january na tuanze kuona development yakeAmad dialo anaonekana anaweza sana ngoja tumsubiri tuone
Meneja wake wa kwanza pale united alikuwa mourinho,naye pia walivurugana.Ni kwl hakuna mchezaji mkubwa zaidi ya club.
Lakini pia tuangalie yeye pogba analalamikia kitu gani?
Isije ikawa tatizo ni ole ,,,kwani pia hakuna kocha mkubwa zaidi ya club.
Anapaswa afate ushauri ..
Mawazo kama haya ndiyo yanayoichelewesha hii timuNadhani ole pengine anamtumia tofauti,,.
Still pogba ni mchezaji mzr sana,,tatizo ni kwamba timu nzima ya man u,,ilipoteza Kiwango ,,
Sasa kila mchezaji anaanza kurudisha ubora wake,aliokuwa nao before.
Tumpe muda pogba,,
Ukianzia wbs,Bruno,, martial,,shaw, degea,,magwea,lindleof,,rashford,, nk wote hao walikuwa shit after cvd lock down,, na sasa wameanza kuonyesha makali.
Pogba bado ni kiungo bora kabisa,,
Edouard Mendy: 2 Clean Sheets
Ngolo Kante: 1 goal
️
Mateo Kovacic: 2 goals
️
️
Jorginho: 1 goal
️
Olivier Giroud: 2 goals
️
️
Hakim Ziyech: 3 goals
️
️
️, 2 assists

Callum Hudson-Odoi: 2 assists
, 2 goals
️
️ (U21)
Thiago Silva: 1/1 clean sheet
Timo Werner: 2 goals
️
️Kwani kwa Mourinho alideriver!? Tena kule Jose alimpanga ktk kila namba aliyoitaka lakini wapiNi kwl hakuna mchezaji mkubwa zaidi ya club.
Lakini pia tuangalie yeye pogba analalamikia kitu gani?
Isije ikawa tatizo ni ole ,,,kwani pia hakuna kocha mkubwa zaidi ya club.
Anapaswa afate ushauri ..
Muda utaongea mkuu..Kwani kwa Mourinho alideriver!? Tena kule Jose alimpanga ktk kila namba aliyoitaka lakini wapi
kikosi cha man U U23 kina wachezaji wawili tu ambao ni zaidi ya miaka 20, waliobakia wote ni watoto wadogo, mejbri na watoto wengine wawili wana miaka 17 na wapo U23, kuna wachezaji 10 wanaqualify kucheza U18 ila wanacheza U23.timu zetu za vijana ziko weak sana aisee
Ila huyu Hanibal Mejbir sijui ndiyo Messi ajaye ?kikosi cha man U U23 kina wachezaji wawili tu ambao ni zaidi ya miaka 20, waliobakia wote ni watoto wadogo, mejbri na watoto wengine wawili wana miaka 17 na wapo U23, kuna wachezaji 10 wanaqualify kucheza U18 ila wanacheza U23.
ukienda U18 kuna wachezaji kibao wana miaka 16, kuna miaka 16 wengi kuliko 18
U18 sasa hivi ipo nafasi 4 imepitwa point 2 na wa juu, na ina viporo viwili.
greenwood alitakiwa awe U18 kule lakini sio tu hayupo huko, hata U23 hayupo bali yupo kikosi cha kwanza, tunawapa nafasi sana vijana na tunawapa challenge zaidi ya umri wao ndio maana Academy ya Man U ina wachezaji wengi zaidi uingereza.
kuna majembe wengi wana kwenye vijana wetu, na Ole amefanya kazi kubwa kusajili watoto, kina Puigmal, mengi, mejbri, etc.
Sema hizi timu zetu za youth zimekuwa zina madogo ambao tunaona ni next big thing lakini kadri muda unavyokwenda hizi ndoto zinapotea..Greenwood hajatuangusha so farIla huyu Hanibal Mejbir sijui ndiyo Messi ajaye ?
Kwa mambo anayoyafanya hata Facundo Pellistri hawezi kufanya
Dogo yupo vizuri sana, sema msimu huu Puigmal ndio yupo vyema zaidi, naona Barcelona wameshaanza Kumnyemelea.Ila huyu Hanibal Mejbir sijui ndiyo Messi ajaye ?
Kwa mambo anayoyafanya hata Facundo Pellistri hawezi kufanya
Siyo kwenye timu yetu tu hivi Lamasia kuzalisha talent ya level za kina Iniesta, Xavi na Messi ilikuwa lini?Sema hizi timu zetu za youth zimekuwa zina madogo ambao tunaona ni next big thing lakini kadri muda unavyokwenda hizi ndoto zinapotea..Greenwood hajatuangusha so far
Hivi huyu Puigmal ndiyo yule yule aliyepewa nafasi first team na Van Gaal ?Dogo yupo vizuri sana, sema msimu huu Puigmal ndio yupo vyema zaidi, naona Barcelona wameshaanza Kumnyemelea.