kikosi cha man U U23 kina wachezaji wawili tu ambao ni zaidi ya miaka 20, waliobakia wote ni watoto wadogo, mejbri na watoto wengine wawili wana miaka 17 na wapo U23, kuna wachezaji 10 wanaqualify kucheza U18 ila wanacheza U23.
ukienda U18 kuna wachezaji kibao wana miaka 16, kuna miaka 16 wengi kuliko 18
U18 sasa hivi ipo nafasi 4 imepitwa point 2 na wa juu, na ina viporo viwili.
greenwood alitakiwa awe U18 kule lakini sio tu hayupo huko, hata U23 hayupo bali yupo kikosi cha kwanza, tunawapa nafasi sana vijana na tunawapa challenge zaidi ya umri wao ndio maana Academy ya Man U ina wachezaji wengi zaidi uingereza.
kuna majembe wengi wana kwenye vijana wetu, na Ole amefanya kazi kubwa kusajili watoto, kina Puigmal, mengi, mejbri, etc.