Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,697
- 32,447
Lindelof hakuwepo walibaki wapuuzi wote ndiyo maana unaona vitu kama hivyo.Defence ya Ole Gunner.View attachment 1619671
Lindelof hakuwepo walibaki wapuuzi wote ndiyo maana unaona vitu kama hivyo.Defence ya Ole Gunner.View attachment 1619671
Squad selection yenyewe ilikuwa ni kujikaba kabisa.Halafu hapo Arsenal kamfunga Man Utd anajisifu
Ole plan A yake inapofeli hajawahi kuwa na plan B yenye mafanikio
Hii game ya leo tungecheza mipira ya krosi mingi au ya juu kuangukia kwenye box ya adui tungepata magoli
By the way timu ilikuwa ina urgency gani kiasi cha kwamba tumeanza game mpaka mabeki wote wanakwenda kushambulia na tunamuacha Demba ba peke yake
Bora hata timu apewe Kaze, Ole atupishe tu
Nicheck PM
Mmeliwa kiboga
Hivi kiboga ndio yale maboga makubwa ama?
Leo hii mnamuona lindelof mzuri na mlidai anasababisha harry atoe mabokoLindelof hakuwepo walibaki wapuuzi wote ndiyo maana unaona vitu kama hivyo.


Baada ya kushinda tumechi tuwili tu ile Leipzig na PSG basi wakaona UEFA ni ya kwao, epl ya kwao ..Ole mjanja anang'ata na kupuliza 😂😂😂😂😂Msisahau jamani weekend ni EVERTON.
Tuliwaambia humu kumfunga PSG isiwe sababu ya ninyi kujimwambafai ona sasa onaaa mkamuomba mpaka na bayern
Sent using Jamii Forums mobile app
Acheni kumsimanga mgonjwa,Baada ya kushinda tumechi tuwili tu ile Leipzig na PSG basi wakaona UEFA ni ya kwao, epl ya kwao ..Ole mjanja anang'ata na kupuliza![]()

Kuna ile alipiga Willian ..siyo shot on targetile inaparaza mlingoti wa juu..![]()
Bado hujaamka? Lile alilopiga Thomas ni nini?
Tatizo mgonjwa anaongea sana ..sasa akiumwa hivi inakuwa afadhali kidogo...😀😀😀Acheni kumsimanga mgonjwa,![]()
Dah apo Lampard alimuonea huruma mwingereza mwenzake.😐😐😐London clubs.View attachment 1619187