Hayo ni maelezo yao binafsiJinsi tulivyofungwa goli la kwanza, mabeki walivyojipangaView attachment 1619849

Arsenal kaifunga man u huku hana attacking midfielder. Ozil yupo nje Houssem hakusajiliwa.
Hata hivyo hivi karibuni man u kaanguka kwa Arsenal zaidi ya mara moja so siyo jambo geni
Na hiyo ndiyo point yangu chief.Dah... Mkuu umenichekesha so unataja hadi wachezaji ambao hawajasajiliwa kama ni sehemu ya wachezaji wa Arsenal
Pia Ozil hajasajiliwa kucheza premier league unamtaja vipi hapo mkuu,
Naamini unajua zaidi ya ulichokomenti
Shot on target ni mpira ulioingia wavuni au uliozuiwa na kipa.Kuna ile alipiga Willian ..siyo shot on targetile inaparaza mlingoti wa juu..
Kuja jukwaa la Arsenal kutema shit mtandao hausumbui ila kuingia jukwaa lako mtandao mbovu au siyoMtandao unasumbua.
Tangu lini baba akawaogopa watoto wake?
Acheno kuifunga Man united ni kama kunguru kunyea manati.
Watu wanajivunjia na kujitengenezea rekodi kwa manchester tu★İstanbul Başakşehir's two goals against Manchester United were the first Champions League goals in their history, resulting in their first ever Champions League win.★
manutd |
Hajamalizia na "... bounce back even stronger"?★Solskjær on Istanbul's first goal: "Lack of communication and lack of good decisions, you don’t really see those goals at this level. We shouldn't concede goals like this." [goal]★
manutd |
Na hiyo ndiyo point yangu chief.
Kwamba Arsenal ameshinda game huku hana anayetakiwa kurahisisha mashambulizi.
Watu wanajivunjia na kujitengenezea rekodi kwa manchester tu
Bado aliocheza nao wanamtetea. Hii inamaanisha Ole bado yupo.★Scholes: “It comes down to the manager and the staff, they decide who comes back from the corners [Demba Ba] goals, so this has to be on the players for not organising themselves on who should be back”.★
manutd |