Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sub kama zote utafkiri tunacheza na Bayern
Timu zinafufukia kwetu .....
Hivi wakuu 1st eleven ya timu ni ipi Wachezaji wote cream wanacheza bado matokeo hakuna??
Tuendelee kujenga timu kwa kweli...
 
Istanbul Basaksehir ni kama kachokoza nyuki halafu bado kabaki eneo la tukio.

With 45 minutes to play, kuongoza 2 - 1 kwa timu yenye sub zake 3 mkononi na nje wakiwepo Pogba, Cavani ni bora waukimbie uwanja wao mapema.

But this is a lesson to Ole, mambo ya playtime tunafanyaga tukishafuzu.
Mkuu ulikuwa unamaanisha nini hapa
Unaamini una kikosi kikali sio??
Hii timu haizoeleki ndo kwanza kumekucha
 
Halafu hapo Arsenal kamfunga Man Utd anajisifu

Ole plan A yake inapofeli hajawahi kuwa na plan B yenye mafanikio

Hii game ya leo tungecheza mipira ya krosi mingi au ya juu kuangukia kwenye box ya adui tungepata magoli

By the way timu ilikuwa ina urgency gani kiasi cha kwamba tumeanza game mpaka mabeki wote wanakwenda kushambulia na tunamuacha Demba ba peke yake

Bora hata timu apewe Kaze , Ole atupishe tu
 
Halafu hapo Arsenal kamfunga Man Utd anajisifu

Ole plan A yake inapofeli hajawahi kuwa na plan B yenye mafanikio

Hii game ya leo tungecheza mipira ya krosi mingi au ya juu kuangukia kwenye box ya adui tungepata magoli

By the way timu ilikuwa ina urgency gani kiasi cha kwamba tumeanza game mpaka mabeki wote wanakwenda kushambulia na tunamuacha Demba ba peke yake

Bora hata timu apewe Kaze , Ole atupishe tu
Unataka kusema nini sasa?
 
Iko hivi wakuu ukiona timu yako inakomaa sana na big teams halafu timu ndogo inafungwa ujue hizo n dalili ya timu yako kupoteana kumbuka Liverpool miaka kadhas iliyopita ilikuwa hivi

Shida mashabiki wengi wa timu hii hawaukubali ukweli huu man u kwa sasa haina tofauti na Wolverhampton utofauti wao upo kwenye fanbase tu kwa sasa na historia basi

Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom