Philipo D. Ruzige
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 9,429
- 27,122
Inauma sana kuangali mpira wa Man U,Bado aliocheza nao wanamtetea. Hii inamaanisha Ole bado yupo.
At the mean time acha tuone maajabu
Ndio mana mimi nilishaachaga kabisa kuangalia waka kujipa presha na hii timu.
Ni uozo mtupu, shenzi zao hawa. Ole na vivulana vyake michoso kweli yani.
