Forgotten
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,630
- 11,096
Uzi wetu umejaa negativity sana, cha kuwashauri mashabiki wenzangu wa United tusipoteze muda na nguvu zetu kujibu comments ambazo zinatoka kwa watu wanaojifanya wanajua soka kumbe ni hewa tu.
Wengi wanajaribu kufanya trolls ili waonekane tu wanajua soka. Zipo comments nyingi humu kutoka kwa mashabiki pinzani na zina hadhi ya kujibiwa na kutengeneza hoja.
Uzi ni wetu huu tuna haki ya kuzipita negative comments kimyakimya na kujibu zile zinazoweza kujenga hoja. Haustahili kumjibu mtu anayesema Manchester United ni underdog kwa PSG: Mtu anatumia term ya underdog hata haelewi siyo mahala pake.
Wana haki ya kuandika chochote humu ila na sisi tukae kimya, jibu la mjinga ni kukaa kimya.
kwa unaarufu gani alopo nao nikama ITV wazungumzie muhogo mchungu wat a shame

★
sema umeniwahi tu★


★
Feb 2019: 2-0
️Apr 2019: 1-1
July 2020: 1-3★