Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Bayern ni kubwa sana kuliko Man Utd labda ukubwa UK naosemea wa Man Utd kwenye Mauzo ya jezi tu

Bayern ana UCL 6 vs Man Utd UCL 3

Juzi Atletico Madrid na ubabe wake kwenye kudefend kafungwa 4 bila sasa sijui Ole Gunnar Sokjaer atakuwa anapigwa ngapi na Hans Flick
Mkuu kwenye rank ya club kubwa duniani bayan ni ya 7.
Pamoja na.mafanikio yote ya bayan bado man u ndy namba moja
Screenshot_2020-10-22-16-31-55.jpeg
 
Kama ni according to Club World cup yes

Sasa utazingatia kigezo gani Nje ya vikombe vya Club World cup?

Kuonesha kwamba namba hazidanganyi Real ameongoza vikombe vya ubingwa wa ligi yake, bara lake na Club World cup
So klabu kubwa duniani ni

1. Real Madrid
2. Barcelona
3. Corinthians
 
OGS on Greenwood: "I am not concerned at all with Mason making a target of himself. Yes, he has made a mistake with England + suddenly the whole English press go after him. I have to disappoint you, he is never late for training."

"I have seen the stories and some ex-United players talking about him and they don’t know what they are talking about. We have photographers outside the training ground every day, they can see he is on time every day. I don’t know where these stories have come from."

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Sio speculation..najaribu kukuonyesha kuwa kuna muda wachezaji wanavunja sheria ila Club zinawalinda..ila kuna sehemu timu hazivumilii hasahasa national teams
Huyu greenwood angekuwa Arsenal na ujinga wake anaofanya kwa Ole , tunhemsahau kama mwenzake Guendouz na Ozil
 
Solskjær: "I have to disappoint you, he's [Greenwood] never late for training. He's never a problem when he's in the training ground. He's always on time, I've seen the stories and some ex-#mufc players talking about him and they don’t know what they are talking about." #mulive

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom