Mabeki mbona ni watatu hao watano umewatoa wapiDefenders watano daaadek! Watu wameenda kulinda na kuzuia tu huko.![]()
Mabeki mbona ni watatu hao watano umewatoa wapiDefenders watano daaadek! Watu wameenda kulinda na kuzuia tu huko.![]()
Gemu bado sana
Penalties ni dalili kwamba timu iko kwenye raiti traki hasa kwenye ushambuliaji na tactics kiujumla.Hahaha hii timu bila penati itafika kweli?
Piga chini Martial, badili mfumo, Bruno au Rashford yeyote anaweza simama mbele, Rashford anaweza tokea pembeni kuingia ndani.mkuu mfumo hauna winga huu, hivyo mata hawezi cheza pembeni hapo, kwa Fred, mctominay na Fernandez nani unampiga bench aanze mata?
Hata ikiisha mechi tutarudi kupiga penalty yetu. Ni given.![]()
3-5-2duh kumbe ni 4-2-3-1
†
Hii Mechi Manchester United hashindi
unafkiri kwanini kimpembe na mwenzake hawapandi pandi ovyo? mpira jamani muuone vile vile, usifikiri unapachika tu watu, huu mfumo so far umekuwa sumu kwa timu kubwa nyingi, wengi wanaufahamu vizuri. di maria ni kama yupo isolated, beki anaetakiwa kumsaidia mbele anakuja jkwa kuvizia sababu ya Telles, mabeki wa kati hawaji mbele sababu ya threat ya counter toka kwa Martial/rashford, yule Namba 6 wao perreira na yeye Amekuwa kama Beki. so far Tactic zipo vyema tusubiri kipindi cha pili.Piga chini Martial, badili mfumo, Bruno au Rashford yeyote anaweza simama mbele, Rashford anaweza tokea pembeni kuingia ndani.
Martial = Memphis Depay
Piga chini Martial, badili mfumo, Bruno au Rashford yeyote anaweza simama mbele, Rashford anaweza tokea pembeni kuingia ndani.
Martial = Memphis Depay
walionesha 4-2-3-1 kabla ya mechi, ila tumecheza 3-5-23-5-2
Yeah ni 3-5-2walionesha 4-2-3-1 kabla ya mechi, ila tumecheza 3-5-2
First half imeisha hata hujui anafanya nini pale..na hayo magloves avue uwanja mzima hakuna mchezaji kavaa gloves..pambaf.
Inawezekana boss ila umtegemee Martial kwa counter? Telles na Bruno wamepiga krosi ngapi ngapi ndani pale na zinapita bila wenyewe?unafkiri kwanini kimpembe na mwenzake hawapandi pandi ovyo? mpira jamani muuone vile vile, usifikiri unapachika tu watu, huu mfumo so far umekuwa sumu kwa timu kubwa nyingi, wengi wanaufahamu vizuri. di maria ni kama yupo isolated, beki anaetakiwa kumsaidia mbele anakuja jkwa kuvizia sababu ya Telles, mabeki wa kati hawaji mbele sababu ya threat ya counter toka kwa Martial/rashford, yule Namba 6 wao perreira na yeye Amekuwa kama Beki. so far Tactic zipo vyema tusubiri kipindi cha pili.