Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 30,709
- 39,789
mkuu mfumo hauna winga huu, hivyo mata hawezi cheza pembeni hapo, kwa Fred, mctominay na Fernandez nani unampiga bench aanze mata?Mkuu unashindaje hapo...Mata ni mpishi mzuri umemweka bench, James juzi kaonesha mpira mkubwa sana (alitiririka sana) ilitakiwa kwa njia yoyote Martial aanzie bench. Huyo Cavani hata benchi hayupo. Haka kakocha ni takataka kabisa.