Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nilishazungumzia humu Haaland hana ubavu wa kumkatalia Ole, Sababu Ole ndio aliemtoa Jalalani na watu wengi walikuwa Hawam rate ila ni Trust ya ole ilioibua Hiki kipaji.

Utd na Haaland ilikuwa ni deal Done aliekuja kuharibu ni Raiola. Na walichofanya Utd ni sawa huwezi ukawekewa Release clause ndogo kama ile, Utd sio stop gap.
Hahah! Raiola mipesa, mjanja sana anataka release clause ndogo ili tu auzwe ale pesa na mwakani release clause ikiwa activated ndiyo mwisho wa Dortmund kujidai lazima kuna timu itavunja kibubu huku Raiola akichekelea tu.
 
.
FB_IMG_16027048849581083.jpg
 
★Paul Scholes went in on Anthony Martial

He thinks Manchester United STILL need a new striker


#GGMU


@manutd
IMG_20201014_224905_822.jpeg
IMG_20201014_224906_022.jpeg
IMG_20201014_224913_418.jpeg
 
Sishangai Maguire kula umeme, tayari jamaa asha-lose confidence. Wachezaji wetu wanapata dhihaka sana mitandaoni. Kwa mchezaji kama Maguire sasa hivi anapambana zaidi kuudhihirishia ulimwengu kuwa ni bora kitu kinachomfanya akose umakini uwanjani.

Ukiangalia page za United na za wachezaji katika comments 10; 7 utakuta ni trolls kumu-attack mchezaji au timu nzima. Maguire mara aitwe fridge. Tumeona watu kama wakina Lingard wametukanwa sana hata juzi kuna takwimu zilitoka wachezaji wanaoongoza kutukanwa mitandaoni Rashford alikuwa wa kwanza na watu wengi walishangaa ni vipi Lingard hayupo kwenye list.

Wachezaji wetu wanahitaji socia media detox kwa angalau mwezi mmoja na ikiwezekana accounts zao za mitandao wapewe watu wa kuziendesha, afya ya akili ni muhimu kwa wachezaji. Hii timu nishaanza kuona watu watatupiana sana fuko la misumari ila shida pia ipo kwa mashabiki wa United na mashabiki wa timu pinzani wanashambulia sana wachezaji wetu.
 
Back
Top Bottom