Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Goncalo Lopes | Bruno Fernandes has lost faith in Solskjær.★


#GGMU


manutd | View attachment 1600468
The reports of Bruno Fernandes and Ole Gunnar Solskjaer falling out are "absolutely not true".

There is no problem between Ole Gunnar Solskjaer and Bruno Fernandes and between Bruno Fernandes and Manchester United. [@podcastherewego; @FabrizioRomano]

🔴
 
Sishangai Maguire kula umeme, tayari jamaa asha-lose confidence. Wachezaji wetu wanapata dhihaka sana mitandaoni. Kwa mchezaji kama Maguire sasa hivi anapambana zaidi kuudhihirishia ulimwengu kuwa ni bora kitu kinachomfanya akose umakini uwanjani.

Ukiangalia page za United na za wachezaji katika comments 10; 7 utakuta ni trolls kumu-attack mchezaji au timu nzima. Maguire mara aitwe fridge. Tumeona watu kama wakina Lingard wametukanwa sana hata juzi kuna takwimu zilitoka wachezaji wanaoongoza kutukanwa mitandaoni Rashford alikuwa wa kwanza na watu wengi walishangaa ni vipi Lingard hayupo kwenye list.

Wachezaji wetu wanahitaji socia media detox kwa angalau mwezi mmoja na ikiwezekana accounts zao za mitandao wapewe watu wa kuziendesha, afya ya akili ni muhimu kwa wachezaji. Hii timu nishaanza kuona watu watatupiana sana fuko la misumari ila shida pia ipo kwa mashabiki wa United na mashabiki wa timu pinzani wanashambulia sana wachezaji wetu.
Kwahiyo unawaomba mashabiki wa timu pinzani waache kuwashambulia wachezaji wenu?
 
★Hivi maana ya Lost faith ni nini??? Yani shid sio kwamba wana ugomvi mkuu★
The reports of Bruno Fernandes and Ole Gunnar Solskjaer falling out are "absolutely not true".

There is no problem between Ole Gunnar Solskjaer and Bruno Fernandes and between Bruno Fernandes and Manchester United. [@podcastherewego; @FabrizioRomano]

 
★Sio Timu pinzani tu pia hata sisi tusiwashambulie sana.

Hence:MAGUIRE asiachwe mpaka avuliwe unahodha msiniangushe kwa hili
Kwahiyo unawaomba mashabiki wa timu pinzani waache kuwashambulia wachezaji wenu?
 
★Hivi maana ya Lost faith ni nini??? Yani shid sio kwamba wana ugomvi mkuu★
Sasa kupoteza imani si ndiyo tatizo tayari hilo. Mchezaji kukosa imani na kocha ni tatizo na ukikosa imani na mtu tayari mnakuwa na tofauti maana hamuaminiani.

Kwahiyo unataka kusema Fabrizio yeye alikuwa anatoa taarifa kwa ku-refer habari ipi?
 
★Sio Timu pinzani tu pia hata sisi tusiwashambulie sana.

Hence:MAGUIRE asiachwe mpaka avuliwe unahodha msiniangushe kwa hili
Ebwana poleni. Hapo bado kwa Cavani watu wameshikilia P kungoja a-underperform waanze kuimba
 
Sasa kupoteza imani si ndiyo tatizo tayari hilo. Mchezaji kukosa imani na kocha ni tatizo na ukikosa imani na mtu tayari mnakuwa na tofauti maana hamuaminiani.

Kwahiyo unataka kusema Fabrizio yeye alikuwa anatoa taarifa kwa ku-refer habari ipi?
Ni mapema kuclaim hivyo ila hata kama wana ugomvi haitakiwi utoke nje ya dressing room
 
Ni mapema kuclaim hivyo ila hata kama wana ugomvi haitakiwi utoke nje ya dressing room
Habari ilikuwa hivi;

“Fernandes opinion of Solskjaer is similar to that of other players in the team. He does not think he’s strong enough to manage the squad and does not have the capabilities to push the players forward in the direction they should go.” @DuncanCastles #MUFC

Inaonekana siyo ishu ya Bruno pekee, hii habari inaweza kuwa ya ukweli ila ili kulinda image ya club inabidi waikanushe.
 
Habari ilikuwa hivi;

“Fernandes opinion of Solskjaer is similar to that of other players in the team. He does not think he’s strong enough to manage the squad and does not have the capabilities to push the players forward in the direction they should go.” @DuncanCastles #MUFC

Inaonekana siyo ishu ya Bruno pekee, hii habari inaweza kuwa ya ukweli ila ili kulinda image ya club inabidi waikanushe.
Yea ulinzi wa image ni muhimu
 
Beki ya dunia aka PAUNDI MILLION 80 jana imefanya yake timu ya taifa, hongera sana MAGURE umeonyesha kiwango kikubwa mno.
tapatalk_1599743898325.jpeg
 
Timu yetu haina utulivu kabisa..

Kuna kazi za ziada inabidi ifanywe ile tuweze japo kupata ushindi mfululizo..
 
Back
Top Bottom