Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Kuna ile video cavani anapiga mpira kutungua maembe juu huko,
Man u tumepigwa
Kuna ile video cavani anapiga mpira kutungua maembe juu huko,
Man u tumepigwa
Acha ushabiki maandazi wewe unasemaje tumepigwa wakati hata uwanjani hajaingiaCavan tumepigwa hata kama ni free, muda hakimu
Hawaamki, wakiporomoka Sokoni wanauza Timu, na As long as timu haipati hasara na wao hawauzi.Bahati mbaya timu ni yao....hatuna cha kuwafanya.
Ni kukaa kwa kutulia tu.
Wakiporomoka sokoni ndio wataamka.
Issue ni kwamba Hatuna Rw sasa hivi, aka hatuna muda wa kulea mtu. Angekuja hata Mtu kwa mkopo kwanza tukiwa tunaendelea kulea ama kumsubiri Sancho.Mashabiki wenzangu wa man huwaga nawashangaa sana wengi wenu ni outdated sana ngoja leo niwaambie kitu, siku hizi mpira umebadilika sana kuanzia uwanjani mpaka kwenye uwekezaji na lazima ujue kabisa kuna kitu cha kuitwa long plan au future plan hiyo kwenye kampuni ndiyo inaitwa vision kwaio nashangaa wanaobeza kununuliwa kwa hao madogo pasipojua kuwa kuna siku za mbeleni pia..kila management lazima iwe committed na kubalance kwa vitabu huwezi tu kuendesha taasisi kwa kutoatoa tu hela pasipo angalia je kuna balance, wengi mnalalamika tulikuwa tunataka mchezaji fulani, sawa lakini kwa $100 iyo ni hela kubwa sana kwenye uwekezaji lazima watu waumize vichwa kwanza kabla ya kutoa lazima wajue mbinu mbalimbali ili waweze kuishusha au kuipunguza hiyo pesa wanayotaka na hapo ndipo kuna definition nzima ya business ama investment.. Kwangu mimi board ipo sahihi kabisa walichofanya..
Cavani ni proven goalscorer ni world class striker watu wengi hawajapenda kwa sababu yeye sio jadon sancho... Who is Sancho by the way..
Amad traore ni young talent mwenye potential kubwa sana kumbuka hata huyo Sancho hakuwa Sancho miaka mitatu iliyopita bali alikuwa kama traore tu sasa kama mwenzako kaweza kukuza kipaji chake wewe unashindwaje kukuza kipaji cha amad traore..
Telles ni moja ya left back mzuri sana kwa wakati huu atasaidia sana kwenye timu hilo halina shaka
Mimi naona mashabiki tupunguze lawama sasa ni muda wa kutazama kipi watatuletea hawa watu najua management wana kusudio lao kwa hawa players na timu kwa ujumla basi haina budi kuwasapoti
Becks ni one of our own, kakulia pale pale Utd, na alivyoanza kufanya biashara akagombana na Fergie akauzwa Madrid.Mkuu kuna falsafa flan ya united sijui niliwaza vibaya, itanisahihisha.....
United ilikuwa ikisajili vipaji pekee lkn ilikuwa na tabia ya kuangalia mchezaji mwenye multi flan,at least aweze kupata makampuni makubwa yadhamini via huyo mchezaji
Beckham nk
Kwa hio Ole kamshusha kiwango Dani James? You guys are not serious aisee, yaani Kamtoa mchezaji jalalani huko na kumleta kwenye Timu kubwa kama United na kumpa Nafasi leo unasema ameshushwa kiwango? Dani James ni Dani James uwezo wake ni kujituma na mbio, anafanya vizuri mechi kubwa ambapo kuna nafasi kuliko mechi ndogo watu wakipanga basi. Toka msimu uliopita yupo hivyo hivyo.huyu dogo anajua ni kama tu Djames kipind anafika man utd,bt shida ni kwamba Djames alikua kama huyu kocha akamdidimiza kipaji chake je vip kuhusu huyu pia? ukiangalia kwa umakini utagundua huyu ni daniel james wa pili hivo bado tunarud palepale ila kocha afukuzwe tu hana jipya kiufund. Yani eti pogba, Djames, bissaka, maguire wote hawa hawajui na hakuna kocha alichowaongezea sasa hata bruno ameanza kupoteza makali
Itakuwa ni manufaa kwetu wakiuza, Maana dah...Hawaamki, wakiporomoka Sokoni wanauza Timu, na As long as timu haipati hasara na wao hawauzi.
Jamaa ni macapitalist 100%
Vile unaongea utadhani mpira unachezwa chumbani na muangaliaji ni ww pekeako.Kwa hio Ole kamshusha kiwango Dani James? You guys are not serious aisee, yaani Kamtoa mchezaji jalalani huko na kumleta kwenye Timu kubwa kama United na kumpa Nafasi leo unasema ameshushwa kiwango? Dani James ni Dani James uwezo wake ni kujituma na mbio, anafanya vizuri mechi kubwa ambapo kuna nafasi kuliko mechi ndogo watu wakipanga basi. Toka msimu uliopita yupo hivyo hivyo.
Na Traore na James ni mbingu na Ardhi, uchezaji wa traore anafananishwa na Messi, anaweza chukua kijiji, ana close control, ana jicho la pasi na Goli etc, sababu ana individual skills nyingi basi kwake linaweza lisiwe shida sana.
Bruno huyu huyu mwenye Goli na assist sawa na mechi alizocheza ameshuka kiwango?
Hakuna mchezaji Hata mmoja alieshuka Kiwango, ni fitness issues tu na mambo yatabadilika kadri tunavyokwenda mbele kwenye ligi.
So mechi 3 ni kigezo cha kumuangalia kocha na viwango vya mchezaji kwa timu ambayo hata pre season haijafanya? Wachezaji hata pamoja hawaja train?Vile unaongea utadhani mpira unachezwa chumbani na muangaliaji ni ww pekeako.
Hao wengine kina Everton wamecheza mechi 10 au? Wachezaji aliowasajili Ole karibia wote wameshuka viwango japo wakati wanakuja walikuwaSo mechi 3 ni kigezo cha kumuangalia kocha na viwango vya mchezaji kwa timu ambayo hata pre season haijafanya? Wachezaji hata pamoja hawaja train?
Bissaka, DJ, Maguire, Fernandes we huoni? Je hao wote amecheza nao mechi 3?Kweli mkuuMpira muda mwingine una maajabu yake huenda traole akafanya makubwa hadi tukasahau bei aliyonunuliwa
Bissaka mechi ya kwanza yenyewe ya palace hakuwa fit na hajacheza amecheza mechi 2 tu.Hao wengine kina Everton wamecheza mechi 10 au? Wachezaji aliowasajili Ole karibia wote wameshuka viwango japo wakati wanakuja walikuwaBissaka, DJ, Maguire, Fernandes we huoni? Je hao wote amecheza nao mechi 3?
Katika hayo magoli penati ngapi?Kwa hio Ole kamshusha kiwango Dani James? You guys are not serious aisee, yaani Kamtoa mchezaji jalalani huko na kumleta kwenye Timu kubwa kama United na kumpa Nafasi leo unasema ameshushwa kiwango? Dani James ni Dani James uwezo wake ni kujituma na mbio, anafanya vizuri mechi kubwa ambapo kuna nafasi kuliko mechi ndogo watu wakipanga basi. Toka msimu uliopita yupo hivyo hivyo.
Na Traore na James ni mbingu na Ardhi, uchezaji wa traore anafananishwa na Messi, anaweza chukua kijiji, ana close control, ana jicho la pasi na Goli etc, sababu ana individual skills nyingi basi kwake linaweza lisiwe shida sana.
Bruno huyu huyu mwenye Goli na assist sawa na mechi alizocheza ameshuka kiwango?
Hakuna mchezaji Hata mmoja alieshuka Kiwango, ni fitness issues tu na mambo yatabadilika kadri tunavyokwenda mbele kwenye ligi.
Ni kweli wachezaji man u hawapofit lkn je nani anayepaswa kuhakikisha fitness ya kikosi?Bissaka mechi ya kwanza yenyewe ya palace hakuwa fit na hajacheza amecheza mechi 2 tu.
Tatizo lenu nyie mnajua mpira ni playstation unawasha tu kwenye umeme na kuanza kucheza, fitness ni jambo muhimu sana tena sana.
Angalia wote ambao wapo juu Epl hawajacheza michuano ya Ulaya, hii ni training regime ya Everton kabla ya Epl
Full Practice Game Part Of Everton's Training Plan For League Restart
Report: 19-year-old prospect has been in Everton first-team training ever since they returned – HITC
Sisi wachezaji wamekutana mechi ya palace ya ligi, hata mechi ya kirafiki ya Villa kikosi cha kwanza kilikuwa hakija report
Niliwahi kuandika matokeo ya timu zilizofika mbali ulaya, bayern mechi 2 zilizopita karuhusu goli 7, lyon ana Mechi ya 5 mfululizo hajui ushindi, sio coincidence hii.
Trust me timu yetu inapo regain fitness utaona na ushindi mfululizo unavyokuja, bado nina imani mwaka huuu tunachallenge Epl ubingwa.
Niliwahi Kuandika humu mkuu assume Bruno Fernandez ana goli 0, stats zake tu za utengenezaji magoli ni 2nd to De bruyne, Hakuna kiumbe chochote pale Epl kinachomfikia zaidi ya De bruyne. Hivyo hakuna Debate ya uchezaji wake mumekosa visingizio mkaona mtafute hilo la penalty.Katika hayo magoli penati ngapi?