Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mashabiki wenzangu wa man huwaga nawashangaa sana wengi wenu ni outdated sana ngoja leo niwaambie kitu, siku hizi mpira umebadilika sana kuanzia uwanjani mpaka kwenye uwekezaji na lazima ujue kabisa kuna kitu cha kuitwa long plan au future plan hiyo kwenye kampuni ndiyo inaitwa vision kwaio nashangaa wanaobeza kununuliwa kwa hao madogo pasipojua kuwa kuna siku za mbeleni pia..kila management lazima iwe committed na kubalance kwa vitabu huwezi tu kuendesha taasisi kwa kutoatoa tu hela pasipo angalia je kuna balance, wengi mnalalamika tulikuwa tunataka mchezaji fulani, sawa lakini kwa $100 iyo ni hela kubwa sana kwenye uwekezaji lazima watu waumize vichwa kwanza kabla ya kutoa lazima wajue mbinu mbalimbali ili waweze kuishusha au kuipunguza hiyo pesa wanayotaka na hapo ndipo kuna definition nzima ya business ama investment.. Kwangu mimi board ipo sahihi kabisa walichofanya..
Cavani ni proven goalscorer ni world class striker watu wengi hawajapenda kwa sababu yeye sio jadon sancho... Who is Sancho by the way..
Amad traore ni young talent mwenye potential kubwa sana kumbuka hata huyo Sancho hakuwa Sancho miaka mitatu iliyopita bali alikuwa kama traore tu sasa kama mwenzako kaweza kukuza kipaji chake wewe unashindwaje kukuza kipaji cha amad traore..
Telles ni moja ya left back mzuri sana kwa wakati huu atasaidia sana kwenye timu hilo halina shaka
Mimi naona mashabiki tupunguze lawama sasa ni muda wa kutazama kipi watatuletea hawa watu najua management wana kusudio lao kwa hawa players na timu kwa ujumla basi haina budi kuwasapoti
Issue ni kwamba Hatuna Rw sasa hivi, aka hatuna muda wa kulea mtu. Angekuja hata Mtu kwa mkopo kwanza tukiwa tunaendelea kulea ama kumsubiri Sancho.

Uchezaji wetu tupo predictable sana sababu ya mashambulizi yetu yanajulikana
xiac06evcxf51.png


Ukiangalia hapo Fernandez, Martial, Rashford na matic wote wanacheza sana Kushoto, kati ya midfield/striker 6 wanne wanapitia kushoto, waliobakia wawili pogba na greenwood wamewekwa tu ili mradi kusikose mtu. Pogba Natural naye ni wa kushoto anacheza tu kulia na greenwood tunajua ni Striker, ukiangalia vibox vya pasi juu kulia ni almost watu hawafiki kabisa.

Tukiwa na Rw wa ukweli kwanza Kiwango cha Bissaka kitakuwa sana, pia timu itakuwa dynamic pande zote mbili zinashambulia.
 
Mkuu kuna falsafa flan ya united sijui niliwaza vibaya, itanisahihisha.....

United ilikuwa ikisajili vipaji pekee lkn ilikuwa na tabia ya kuangalia mchezaji mwenye multi flan,at least aweze kupata makampuni makubwa yadhamini via huyo mchezaji
Beckham nk
Becks ni one of our own, kakulia pale pale Utd, na alivyoanza kufanya biashara akagombana na Fergie akauzwa Madrid.

Zamani tulikuwa na wachezaji wana Sura ngumu hao, kina Sheringham, Chadwick, stam, Keane etc
 
huyu dogo anajua ni kama tu Djames kipind anafika man utd,bt shida ni kwamba Djames alikua kama huyu kocha akamdidimiza kipaji chake je vip kuhusu huyu pia? ukiangalia kwa umakini utagundua huyu ni daniel james wa pili hivo bado tunarud palepale ila kocha afukuzwe tu hana jipya kiufund. Yani eti pogba, Djames, bissaka, maguire wote hawa hawajui na hakuna kocha alichowaongezea sasa hata bruno ameanza kupoteza makali
Kwa hio Ole kamshusha kiwango Dani James? You guys are not serious aisee, yaani Kamtoa mchezaji jalalani huko na kumleta kwenye Timu kubwa kama United na kumpa Nafasi leo unasema ameshushwa kiwango? Dani James ni Dani James uwezo wake ni kujituma na mbio, anafanya vizuri mechi kubwa ambapo kuna nafasi kuliko mechi ndogo watu wakipanga basi. Toka msimu uliopita yupo hivyo hivyo.

Na Traore na James ni mbingu na Ardhi, uchezaji wa traore anafananishwa na Messi, anaweza chukua kijiji, ana close control, ana jicho la pasi na Goli etc, sababu ana individual skills nyingi basi kwake linaweza lisiwe shida sana.

Bruno huyu huyu mwenye Goli na assist sawa na mechi alizocheza ameshuka kiwango?

Hakuna mchezaji Hata mmoja alieshuka Kiwango, ni fitness issues tu na mambo yatabadilika kadri tunavyokwenda mbele kwenye ligi.
 
Kwa hio Ole kamshusha kiwango Dani James? You guys are not serious aisee, yaani Kamtoa mchezaji jalalani huko na kumleta kwenye Timu kubwa kama United na kumpa Nafasi leo unasema ameshushwa kiwango? Dani James ni Dani James uwezo wake ni kujituma na mbio, anafanya vizuri mechi kubwa ambapo kuna nafasi kuliko mechi ndogo watu wakipanga basi. Toka msimu uliopita yupo hivyo hivyo.

Na Traore na James ni mbingu na Ardhi, uchezaji wa traore anafananishwa na Messi, anaweza chukua kijiji, ana close control, ana jicho la pasi na Goli etc, sababu ana individual skills nyingi basi kwake linaweza lisiwe shida sana.

Bruno huyu huyu mwenye Goli na assist sawa na mechi alizocheza ameshuka kiwango?

Hakuna mchezaji Hata mmoja alieshuka Kiwango, ni fitness issues tu na mambo yatabadilika kadri tunavyokwenda mbele kwenye ligi.
Vile unaongea utadhani mpira unachezwa chumbani na muangaliaji ni ww pekeako.
 
So mechi 3 ni kigezo cha kumuangalia kocha na viwango vya mchezaji kwa timu ambayo hata pre season haijafanya? Wachezaji hata pamoja hawaja train?
Hao wengine kina Everton wamecheza mechi 10 au? Wachezaji aliowasajili Ole karibia wote wameshuka viwango japo wakati wanakuja walikuwa Bissaka, DJ, Maguire, Fernandes we huoni? Je hao wote amecheza nao mechi 3?
 
Hao wengine kina Everton wamecheza mechi 10 au? Wachezaji aliowasajili Ole karibia wote wameshuka viwango japo wakati wanakuja walikuwa Bissaka, DJ, Maguire, Fernandes we huoni? Je hao wote amecheza nao mechi 3?
Bissaka mechi ya kwanza yenyewe ya palace hakuwa fit na hajacheza amecheza mechi 2 tu.

Tatizo lenu nyie mnajua mpira ni playstation unawasha tu kwenye umeme na kuanza kucheza, fitness ni jambo muhimu sana tena sana.

Angalia wote ambao wapo juu Epl hawajacheza michuano ya Ulaya, hii ni training regime ya Everton kabla ya Epl
Full Practice Game Part Of Everton's Training Plan For League Restart
Report: 19-year-old prospect has been in Everton first-team training ever since they returned – HITC

Sisi wachezaji wamekutana mechi ya palace ya ligi, hata mechi ya kirafiki ya Villa kikosi cha kwanza kilikuwa hakija report

Niliwahi kuandika matokeo ya timu zilizofika mbali ulaya, bayern mechi 2 zilizopita karuhusu goli 7, lyon ana Mechi ya 5 mfululizo hajui ushindi, sio coincidence hii.

Trust me timu yetu inapo regain fitness utaona na ushindi mfululizo unavyokuja, bado nina imani mwaka huuu tunachallenge Epl ubingwa.
 
Kwa hio Ole kamshusha kiwango Dani James? You guys are not serious aisee, yaani Kamtoa mchezaji jalalani huko na kumleta kwenye Timu kubwa kama United na kumpa Nafasi leo unasema ameshushwa kiwango? Dani James ni Dani James uwezo wake ni kujituma na mbio, anafanya vizuri mechi kubwa ambapo kuna nafasi kuliko mechi ndogo watu wakipanga basi. Toka msimu uliopita yupo hivyo hivyo.

Na Traore na James ni mbingu na Ardhi, uchezaji wa traore anafananishwa na Messi, anaweza chukua kijiji, ana close control, ana jicho la pasi na Goli etc, sababu ana individual skills nyingi basi kwake linaweza lisiwe shida sana.

Bruno huyu huyu mwenye Goli na assist sawa na mechi alizocheza ameshuka kiwango?

Hakuna mchezaji Hata mmoja alieshuka Kiwango, ni fitness issues tu na mambo yatabadilika kadri tunavyokwenda mbele kwenye ligi.
Katika hayo magoli penati ngapi?
 
Bissaka mechi ya kwanza yenyewe ya palace hakuwa fit na hajacheza amecheza mechi 2 tu.

Tatizo lenu nyie mnajua mpira ni playstation unawasha tu kwenye umeme na kuanza kucheza, fitness ni jambo muhimu sana tena sana.

Angalia wote ambao wapo juu Epl hawajacheza michuano ya Ulaya, hii ni training regime ya Everton kabla ya Epl
Full Practice Game Part Of Everton's Training Plan For League Restart
Report: 19-year-old prospect has been in Everton first-team training ever since they returned – HITC

Sisi wachezaji wamekutana mechi ya palace ya ligi, hata mechi ya kirafiki ya Villa kikosi cha kwanza kilikuwa hakija report

Niliwahi kuandika matokeo ya timu zilizofika mbali ulaya, bayern mechi 2 zilizopita karuhusu goli 7, lyon ana Mechi ya 5 mfululizo hajui ushindi, sio coincidence hii.

Trust me timu yetu inapo regain fitness utaona na ushindi mfululizo unavyokuja, bado nina imani mwaka huuu tunachallenge Epl ubingwa.
Ni kweli wachezaji man u hawapofit lkn je nani anayepaswa kuhakikisha fitness ya kikosi?
 
Back
Top Bottom