Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,568
Hata mimi ningegombana nae.
Hata mimi ningegombana nae.
Huwezi tatua uongozi wa club kwasababu wao ndo wamiliki.Man u ina matatizo makubwa:-
Kuna matatizo ya Tajiri
Kuna matatizo ya management
Kuna matatizo ya kocha
Kuna matatizo ya wachezaji
Kuna matatizo ya mashibiki.
Mtafukuza makocha mpaka lini? Tatueni tatizo la msingi (Uongozi wa club).
Maguire toka atoke jela hayuko vizuri mentally sema hakuna mbadala wake kwenye benchHata mimi ningegombana nae.
Bissaka anaujua sanahuyu dogo anajua ni kama tu Djames kipind anafika man utd,bt shida ni kwamba Djames alikua kama huyu kocha akamdidimiza kipaji chake je vip kuhusu huyu pia? ukiangalia kwa umakini utagundua huyu ni daniel james wa pili hivo bado tunarud palepale ila kocha afukuzwe tu hana jipya kiufund. Yani eti pogba, Djames, bissaka, maguire wote hawa hawajui na hakuna kocha alichowaongezea sasa hata bruno ameanza kupoteza makali
Bahati mbaya timu ni yao....hatuna cha kuwafanya.Uongozi mbovu - Kocha mbovu (OUT)
Uongozi mbovu - Kocha Mzuri (OUT)
kocha mzuri ila hafikii malengo yake kwa uongozi mbovu uliopo, hazikilizwi na uongozi, hasajiliwi wachezaji anaowataka, mwisho anafeli OUT
Uongozi mbovu - Moyes OUT
Uongozi mbovu - Vangaal OUT
Uongozi mbovu - Morinyo OUT
Uongozi mbovu - Ole OUT
Uongozi mbovu - Next OUT
Uongozi mbovu - Next OUT
Uongozi mzuri - Kocha mzuri = TROPHIES
hayo yote ni sawa hata mm nimefurah angalau bt tusipobadili kocha ni kazi bure mkuu mana sioni anachoongeza kwa wachezaji mana kila kukicha viwango vina drop tu.Mashabiki wenzangu wa man huwaga nawashangaa sana wengi wenu ni outdated sana ngoja leo niwaambie kitu, siku hizi mpira umebadilika sana kuanzia uwanjani mpaka kwenye uwekezaji na lazima ujue kabisa kuna kitu cha kuitwa long plan au future plan hiyo kwenye kampuni ndiyo inaitwa vision kwaio nashangaa wanaobeza kununuliwa kwa hao madogo pasipojua kuwa kuna siku za mbeleni pia..kila management lazima iwe committed na kubalance kwa vitabu huwezi tu kuendesha taasisi kwa kutoatoa tu hela pasipo angalia je kuna balance, wengi mnalalamika tulikuwa tunataka mchezaji fulani, sawa lakini kwa $100 iyo ni hela kubwa sana kwenye uwekezaji lazima watu waumize vichwa kwanza kabla ya kutoa lazima wajue mbinu mbalimbali ili waweze kuishusha au kuipunguza hiyo pesa wanayotaka na hapo ndipo kuna definition nzima ya business ama investment.. Kwangu mimi board ipo sahihi kabisa walichofanya..
Cavani ni proven goalscorer ni world class striker watu wengi hawajapenda kwa sababu yeye sio jadon sancho... Who is Sancho by the way..
Amad traore ni young talent mwenye potential kubwa sana kumbuka hata huyo Sancho hakuwa Sancho miaka mitatu iliyopita bali alikuwa kama traore tu sasa kama mwenzako kaweza kukuza kipaji chake wewe unashindwaje kukuza kipaji cha amad traore..
Telles ni moja ya left back mzuri sana kwa wakati huu atasaidia sana kwenye timu hilo halina shaka
Mimi naona mashabiki tupunguze lawama sasa ni muda wa kutazama kipi watatuletea hawa watu najua management wana kusudio lao kwa hawa players na timu kwa ujumla basi haina budi kuwasapoti
kwani bado hajafukuzwa tu mi malumbano yenu hata siyaelewi hapa.........


yupo mkuu
Shabiki wa Chelsea anashauri kuhusu kufukuza makocha, yaani Chelsea.!



Mkuu kuna falsafa flan ya united sijui niliwaza vibaya, itanisahihisha.....The best 007,
Hujiulizi ni kwa nini chini ya Ed ndani ya miaka 7 tu, tumekuwa na makocha 5? Ni kweli Ole ni kocha mbovu lakini nani amemuaajiri kocha mbovu? Nimesema hapo juu ukifanya observation ndogo tu, Manchester United tumekuwa na football executives wanne tu ndani ya miaka 28 iliyopita toka Premier League ibadilike na sisi ndio tuliofanya vizuri ktk mfumo mpya tumebeba mara 13. Lakini ktk hao football executives wanne kuanzia Martin Edwards (1980-1997), Peter Kenyon (1997-2003), na David Gill (2003-2013) hawa wote wamefanya kazi na kocha mmoja tu kipindi chote hicho na kila mmoja amebeba EPL zaidi ya mbili. Kwa nini Ed Woodward amefanya kazi na makocha 5 na hajashinda kombe la EPL ndani ya zaidi ya miaka 7? Kama factor ya kuwa na timu bora ni pesa basi Ed ndiye aliyepaswa kuwa na timu bora zaidi chini yake maana hata ukifanya inflation adjustment yeye ndiye aliyetumia pesa kuliko chief executives wote waliomtangulia.
Bado tu unaamini tatizo la Manchester United ni kocha? Are serious bro? Okay, tufanye kweli tatizo letu ni kocha. Je ni nani anayewaajiri hawa makocha wabovu? Kumbuka wachezaji ni end products ya talents baada ya ku-assemble best talents from coaching staffs to recruitment teams na mwenye jukumu la kufanya hili ni football executive. Hata aje malaika kuwa kocha wa timu ukiwa na football executive mwenye uwezo mdogo ni sawa na kuigeuza Tanzania iwe sawa na Marekani kiuchumi.
Duu....ohooBissaka anaujua sanaView attachment 1592233
Kuna ile video cavani anapiga mpira kutungua maembe juu huko,
Man u tumepigwa





