Management yetu ina shida Cavani alikuwa free agent muda mrefu sana kama kweli tulikuwa tunamhitaji angesajiliwa mapema akaanza training mapema Chelsea walimsajili Werner mapema akaondoka Leipzig akaanza training Cobham kabla hata msimu uliopita haujaishaConsider pia umri wake, demands za EPL (intensiveness) ukilinganisha na League 1, the Fact kwamba hajacheza muda mrefu na anaikuta ligi iko katikati (fitness).
Nadhani wameangalia sana vitu hivyo ndiyo maana amepewa mkataba wa mwaka 1 mara 2.
Kuleta defender mwenye pace kuja kupartner na yoyote yule cause wote hawana pace.Centra defender kwa nafasi ya nani? Maguire au Lindelof?
Hahahahah mkuu Unazugumzia Chong kabisa wakati huyu dogo hamfikii hata TKmaster wa Yanga
Hata angepewa wachezaji wote bado asingekuwa na uwezo wa ku-deliver.
Kuna dembele mwingine tofauti ya ninaemfikiria mimi?huyo dogo hakuwepo kwenye mipango rasmi ya klabu (hivi majuzi alivumishiwa kuelekea parma kwa mkopo ndio man utd wakajiingiza)
tumejificha hapa:
kama wao dortmund waliweza kumtengeneza sancho akiwa na umri mdogo kwa nini klabu yenye resource kama sisi tushindwe, wape euro millioni 30 hao wahuni wa Italy.
kwa dirisha dogo lijalo hatutamtafuta tena sancho (ufunguo wa sancho amekabidhiwa traore).
akicheza ovyo tunamrudia tena sancho huku tukiangalia muelekeo wa dembele
Kweli tu transfer window ya ajabu sana hii kwa unitedHahahahah mkuu Unazugumzia Chong kabisa wakati huyu dogo hamfikii hata TKmaster wa Yanga
Siku Suarez anaenda AM, niliuliza humu, mbona ameuzwa kwa €7M? Very cheap actually.Man Utd kwanini hawakujaribu kumsajili Suarezi?
Siamini kama wangekuwa serious Liverpool connection ingezuia asisajiliwe.
Point ninayoona hapa ni kuwa United kila kitu wanafanya kidharura, United chini ya Sports Director Ed Woodward ni majanga kwenye transfer business
Dembele na Mendy wapo wengi mnoKuna dembele mwingine tofauti ya ninaemfikiria mimi?
Siku Suarez anaenda AM, niliuliza humu, mbona ameuzwa kwa €7M? Very cheap actually.
Nikajibiwa kwasababu ni mzee.
Nadhani Suarez alikuwa best option kwa central striker.
Duuuuh
Kumbuka tulitoa £80M kwa mchezaji kama Maguire.Kuleta defender mwenye pace kuja kupartner na yoyote yule cause wote hawana pace.
Bailly na Tuanzebe ni injury prone
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Man Utd sio wodi.Dembele na Mendy wapo wengi mno
Suarez ndo mchezaji pekee pale Liverpool nilikiwa namuogopa.Hatuna watu wa soka pale kwa kweli, Suarez was the best option
Cavani timemchukua, lakini ujio wake ni panic transfer
Ingekuwa tunamtaka, kwa kuwa alikuwa ni free agent tangu June tungemchukua mapema
Sina mashaka na uwezo wa Cavani hata umri huu alionao, ila amekuwa akipata sana majeruhi
Chong nilimfatilia kwa makini sana,,sio talented kama greenwood,japokuwa walipandishwa pamoja,,Chong alihitaji kujengewa confidence na physicality.
Kama tulikosa vyote hatukumuona hata Samuel Chukuweze pale Villa Real ??
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Ndy ilivyo hivyo automatically mkuu,,Kwa nin kila mtu mwenye wasiwasi na Cavan unamuita shabiki wa Martial?
Sawa mkuu,,ngoja tuone=====================
- muda ndio mwalimu wa hii kesi ya cavani
- kocha ndio msahihishaji wa hii kesi
====================
- tunaye bruno, pogba, donny pale central (nahisi wanatosha kumhudumia cavani)
- tunaye martial na rashford upande wa pembeni
tuna watumishi hewa wawili ambao usiweke mategemeo yeyote ya kumhudumia cavani
- wan bissaka
- shaw = huyu ndani ya misimu sita ametengeneza nafasi 6(wanavyosema wenyewe)
Huyu Mimi hata YouTube tu sijaona kama ana kitu cha ziada cha kufanya nistuke!