Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,697
- 32,447
Chong ni mchezaji Ole alipaswa kumtrain aongeze physicality tu.anafunga akiwa wapi?
huyu dogo wa Jana at least anaonyesha mwanga na umri wake mdg ule half yy Ni multifunctional uwanjani tofaut na Chong. Chong uchezaji wake unahitaji alishiwe kila kitu, anatumia mguu wa kushoto lakin hawezi kuutumia anakua mzito sana, pale Hamna future
Halafu Chong siyo kwamba anacheza nafasi moja tu anacheza flanks zote kulia na kushoto na anaweza kucheza kama attacking midfielder pia.
But yote kwa yote unawezaje kutumia miezi 3 kutafuta mchezaji wa miaka 18 ambaye hajacheza kwenye senior timu hata mara moja ?
Hebu tuwe wakweli kwenye hili hivi United inahitaji kufanya usajili wa mtoto wa miaka 18 aje direct kikosi cha kwanza?
Kwenye academy tulikuwa na wachezaji watatu wanaoweza kucheza right wing why tuwatoe kwa mkopo halafu tukasajili watoto wengine ??
Huu ni upuuzi
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
