mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 11,363
- 21,441
1..anatokea america kusini..unaonekana ni mfuatiliaji mzuri wa LIGUE 1.
takwimu zake za kiafya zipoje
unadhani kwa nini mashabiki wengi wanamfananisha na falcao ajaye?
Wachezaji wengi kutoka America kusini hawatambi man u.mfano Sebastian veron,,Pereira, demaria,Alex Sanchez.
2.. Atavaa jezi no 7 ambayo ilivaliwa na Alex Sanchez.
3. Anacheza no 9 kama falcao.
Alipotoka hapo PSG hakuwa majeruhi bali ni mfumo wa kocha na ujio wa neyma na icard ndy ulimuweka bench ,
Anataka ku prove PSG wrong.
Hayo yanayosemwa mengine ni maneno ya watabiri .
Takwimu zinasema 2019/2020 amecheza mechi 14..
Ameanza mechi 7..
Ana goli 4 asisst 7..
Bado ni PSG top scorer of all times.. Ni mchezaji mfano wa Ibrahimovic.
