The Humble Dreamer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 8,011
- 11,429
Wanakuaje busy saiv viaz hawa?BBC sport
It looks to be a busy evening at Old Trafford...
Man Utd are in talks to sign Atalanta winger Amad Traore and Facundo Pellistri from Penarol.
Wanakuaje busy saiv viaz hawa?BBC sport
It looks to be a busy evening at Old Trafford...
Man Utd are in talks to sign Atalanta winger Amad Traore and Facundo Pellistri from Penarol.
Watakuwa wanapigia hesabu za biashara miaka ijayo.Hivi huyu dogo wa Atalanta wa miaka 18 ndy amekuna account ya United kutoa £30m?
View attachment 1591515
Hakuna cha rebuilding. Tunapoteza muda tu.Binafsi nimeshuhudia games chache sana ambazo tumeshinda kwa ushawishi wa kucheza mpira mzuri na wa mipango,tofauti na hapo tumekuwa tukipata bahati zaidi kuliko weledi wa kocha.
Na tatizo letu tangu msimu uliopita limekuwa lile lile la kushindwa kutoboa ngome ya timu inayocheza lowblock kwenye ulinzi lakini Ole hajawahi kubadili mbinu.
#OLEOUT
Huo ni utajiri wa Asset na thamani ya timu unaosema wewe, wanahesabu thamani za uwanja, wachezaji, deals za club etcrichest clubs in the world ...Man utd ni ya 3, everton ni ya 19..
una hela nyingi lakini haikusaidii au hauitumii ipasavyo
man utd watavuna walichopanda
Huu msimu tutashuhudia mengi. Eti leo hii POGBA hafai.hawaelewi elewi hivi
![]()
Ducker anasema 18m,Hivi huyu dogo wa Atalanta wa miaka 18 ndy amekuna account ya United kutoa £30m?
View attachment 1591515
Fake★Kumbe kiliwaka janaDressing room Bruno vs Maguire dadeq damu itamwagika duuh★
#GGMU
@manutdView attachment 1591598