Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu Bavaria mie nakuunga mikono na miguu kwenye hii kampeni yako ya #Oleout ingawa huisemi moja kwa moja bali unajaribu kuwaonyesha watu kwa mifano kabisa.
Mfano upi?

Niligundua ubovu wa Ole msimu uliopita.

Mchezo anaoucheza ni mbaya kuliko hata enzi za Mou.

Wachezaji ukiwaona wamepungua viwango kuliko maelezo.

Msimu uliopita Bruno aliibeba United mgongoni, tukasema angekuja toka mwanzo wa msimu tungeongea habari za kubeba kombe.

Ghafla msimu huu amekuwa kimeo, akaletwa VDB.

Kumkosa Sancho isiwe sababu ya sisi kufanya vibaya hivi.

Kocha mwenye uwezo lazima awe na mbinu mbadala kucheza bila kutegemea RW.

Bissaka leo ameonekana mbovu, kwahiyo anatakiwa aletwe mwingine kuziba nafasi yake.

Lindelof alocheza vizuri wakati wa Mou, leo anaonekana mbovu. Anatakiwa aje mwingine wa ku-pair vizuri na Maguire.

Unamuuza namba 9 mzuri kama Lukaku, tena unajiamini kabisa kuwa Martial anatosha. Leo kiko wapi?

Rashford amebaki kulamba midomo tu. Chief-Mkwawa anakwambia bado jamaa ni 'mtoto'.

Lingard alicheza vizuri wakati wa Mou, leo hii unaambiwa hafai.

Nadhani ni mimi peke angu ndo naona Man Utd tunacheza mpira mbaya sana. Vipasi vya kijingajinga tunapiga.

Eti leo tunasherekea kuja kwa kizee kama Cavan, wapi Ighalo? Ole ameshindwa mtumia? Au hafit kwenye mfumo?

Ole ana mfumo? Miaka nenda rudi anatumia mfumo uleule kila siku na unamshinda. Hana game plan.

Hata wakija makocha 100. Kama kocha hafai aoneshwe pa kutokea.

Au tuandamane mashabiki waondoke Glazers na Ed wao ndo timu ianze upya. Otherwise, tufukuze tu makocha mpaka yule atakaeweza tumia resources alizonazo.
 
Ila Mustafi na Maguire wanaongoza kwa TACKLES kitu ambacho ni clear sign ya careless defender.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Well then ni nyinyi man u mnaomsifia bissaka kua anajua kupiga tackle kuliko beki yeyote.

Inanoga ikiwa kwenu tu?

Anyway hizo stats ni za Arsenal ikiwa na Emery, the worst season in over decades. Mid ilikua hovyo Xhaka akitarajiwa acheze role ya regista so akawa exposed in turn Mustafi akawa anajikuta na opponents mara kwa mara, and thats where tackles came into play.

Kipindi hicho nilikua nawaambia Arsenal wenzangu, timu yetu siyo mbovu tatizo haina morali na kocha anashindwa kuiboost. Kwa Arteta alivyofanikiwa kurudisha confidence ya Xhaka sioni kama angeshindwa kuirudisha ya Mustafi.

Mfano mwingine ni Holding.
 
anaandika Guillem balague

At this moment, Dembélé to #MUFC NOT happening. Not because of #MUFC #FCB change their stand and would have accepted a loan deal IF Dembélé would added an extra year to his contract which finishes in 2022 Player not happy with deal
Hili dili heri life kuliko kununua mgonjwa kuja kwenye ligi ngumu kama epl

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Kane ni moja ya wwshambuliaji wakali waliopo sokoni ukiachana na kina Babu Cavan. Kane ni hit kweli kiukweli!
Kwahiyo unatoa £300M kwa ajili ya Kane?

Waingereza wapotezewe hata wawe na vipaji kama malaika.

Bei zao ni sawa na money laundering. Maguire ni wa kutoa £80M?

Hata huyo Sancho tusitoe hiyo £120M. Bora tukakusanye wachezaji wa £30M wanne ila sio kutoa hiyo hela.
 
Niliwahi andika hapa juu ya alichosema Van Gaal.

Alisema "Pale Bayern CEO ni mtu wa mpira anajua nini kinatakiwa kifanywe na nini hakitakiwi. Wakati hapa CEO ni mtu aliyekua akijihusisha na uwekezaji benki. Nafikiri unaweza kuona tofauti"

Mwekezaji wa benk alifuta nafasi ya Director of Football na kujikaimisha yeye. Mlitarajia nini?
 
Hili dili heri life kuliko kununua mgonjwa kuja kwenye ligi ngumu kama epl

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Halafu hana nidhamu. Kuchelewa kuja mazoezini na anakuja huku kalewa kwake ni kawaida.

Injury prone... Kama Sane tu nahisi Bayern wanashangaa mwili wa glass wa Sane, tayari karudi majeruhi tena.
 
Mfano upi?

Niligundua ubovu wa Ole msimu uliopita.

Mchezo anaoucheza ni mbaya kuliko hata enzi za Mou.

Wachezaji ukiwaona wamepungua viwango kuliko maelezo.

Msimu uliopita Bruno aliibeba United mgongoni, tukasema angekuja toka mwanzo wa msimu tungeongea habari za kubeba kombe.

Ghafla msimu huu amekuwa kimeo, akaletwa VDB.

Kumkosa Sancho isiwe sababu ya sisi kufanya vibaya hivi.

Kocha mwenye uwezo lazima awe na mbinu mbadala kucheza bila kutegemea RW.

Bissaka leo ameonekana mbovu, kwahiyo anatakiwa aletwe mwingine kuziba nafasi yake.

Lindelof alocheza vizuri wakati wa Mou, leo anaonekana mbovu. Anatakiwa aje mwingine wa ku-pair vizuri na Maguire.

Unamuuza namba 9 mzuri kama Lukaku, tena unajiamini kabisa kuwa Martial anatosha. Leo kiko wapi?

Rashford amebaki kulamba midomo tu. Chief-Mkwawa anakwambia bado jamaa ni 'mtoto'.

Lingard alicheza vizuri wakati wa Mou, leo hii unaambiwa hafai.

Nadhani ni mimi peke angu ndo naona Man Utd tunacheza mpira mbaya sana. Vipasi vya kijingajinga tunapiga.

Eti leo tunasherekea kuja kwa kizee kama Cavan, wapi Ighalo? Ole ameshindwa mtumia? Au hafit kwenye mfumo?

Ole ana mfumo? Miaka nenda rudi anatumia mfumo uleule kila siku na unamshinda. Hana game plan.

Hata wakija makocha 100. Kama kocha hafai aoneshwe pa kutokea.

Au tuandamane mashabiki waondoke Glazers na Ed wao ndo timu ianze upya. Otherwise, tufukuze tu makocha mpaka yule atakaeweza tumia resources alizonazo.
Binafsi nimeshuhudia games chache sana ambazo tumeshinda kwa ushawishi wa kucheza mpira mzuri na wa mipango,tofauti na hapo tumekuwa tukipata bahati zaidi kuliko weledi wa kocha.
Na tatizo letu tangu msimu uliopita limekuwa lile lile la kushindwa kutoboa ngome ya timu inayocheza lowblock kwenye ulinzi lakini Ole hajawahi kubadili mbinu.
#OLEOUT
 
Yeah Timu ndogo iliotumia zaidi ya Pound milioni 500,

Everton ukitoa Man Utd, Chelsea na Man City ametumia hela nyingi kushinda yoyote pale Epl, amewazidi Hadi Arsenal na Spurs. Mmiliki wao ana pesa ndefu.
richest clubs in the world ...Man utd ni ya 3, everton ni ya 19..

una hela nyingi lakini haikusaidii au hauitumii ipasavyo

man utd watavuna walichopanda
 
Back
Top Bottom