Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Huyo Pelestri ndiyo winger wa kulia tuliyemsajili ?

Mimi hata sielewi elewi hili dirisha lilivyofungwa.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
sijawahi kuangalia video zake ila inavyosemekana ni winga wa kulia
cha kuchekesha tokea mwezi wa saba tumekuwa tukivumishiwa kumuhitaji ila dili lake limekamilishwa siku ya mwisho.
na muandishi wa hii habari ni chanzo cha uhakika

1601959012076.png

===============
Andy Mitten is the editor of the acclaimed United We Stand magazine. He also writes for The Independent, and contributes to numerous radio and TV stations on United issues. His great uncle, Charlie Mitten, played for United in the 1930s and 40s.
 
sijawahi kuangalia video zake ila inavyosemekana ni winga wa kulia
cha kuchekesha tokea mwezi wa saba tumekuwa tukivumishiwa kumuhitaji ila dili lake limekamilishwa siku ya mwisho.
na muandishi wa hii habari ni chanzo cha uhakika

View attachment 1591805
===============
Andy Mitten is the editor of the acclaimed United We Stand magazine. He also writes for The Independent, and contributes to numerous radio and TV stations on United issues. His great uncle, Charlie Mitten, played for United in the 1930s and 40s.
Tuache mengine yote tulihitaji a proven right wing siyo hawa watoto wakuokoteza kusikojulikana.

It means hapa tunafanya usajili patapotea tu ili kujivua lawama kuwa bodi haijafanya usajili.

What a shame!!!

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Usajili wa watoto na wazee.

Hii recruitment ya united ina makengeza hii

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app

Huyo Amad Traole kwa nilichokiona kwenye video zake basi sancho tunaweza kuachana nae tukaendelea kuchek mtu mwingine wa bei chee ni mzur sana tena sana kama anachokionesha kikaendelea had kwenye hii timu.
 
Tuache mengine yote tulihitaji a proven right wing siyo hawa watoto wakuokoteza kusikojulikana.

It means hapa tunafanya usajili patapotea tu ili kujivua lawama kuwa bodi haijafanya usajili.

What a shame!!!

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app

Mkuu christiano ronaldo tulimpata huku wakina di maria wamepita hapa wakiwa moto tumetoka kapa
 
Allegri je?
Masmilliano Allegry ndiyo kocha pekee aliyeko sokoni anayeweza kuifundisha united na kuipa mafanikio.

Ameprove katika vilabu viwili vikubwa duniani kuwa he is capable of doing the job.

Tatizo lililopo United usajili unaofanywa na Bodi hata kama kocha angekuwa na cv kubwa kiasi gani hawezi kufanikiwa kwa sababu hatapewa mahitaji wanayoyataka.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Huyo Amad Traole kwa nilichokiona kwenye video zake basi sancho tunaweza kuachana nae tukaendelea kuchek mtu mwingine wa bei chee ni mzur sana tena sana kama anachokionesha kikaendelea had kwenye hii timu.
Sasa mchezaji unamsajili halafu umwache kwa mkopo hii ni akili au matope ?

Si heri wangemwacha Tahit Chong ?

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Tuache mengine yote tulihitaji a proven right wing siyo hawa watoto wakuokoteza kusikojulikana.
It means hapa tunafanya usajili patapotea tu ili kujivua lawama kuwa bodi haijafanya usajili.
What a shame!!!
option ya uhakika ilikuwa ni jadon sancho ila bajeti hatukutaka itoshe(sijui pesa inapelekwa wapi), klabu imetumia takribani paundi millioni 100 kwa wachezaji watano(hela ambayo ilipaswa itumike kwa usajili wa sancho pekee)

walichokifanya board ni kutuonjesha maziwa ya mtindi.
 
option ya uhakika ilikuwa ni jadon sancho ila bajeti hatukutaka itoshe(sijui pesa inapelekwa wapi), klabu imetumia takribani paundi millioni 100 kwa wachezaji watano(hela ambayo ilipaswa itumike kwa usajili wa sancho pekee)

walichokifanya board ni kutuonjesha maziwa ya mtindi.
Bodi imefanya usajili wa kujivua lawama tu ili wamfukuze Solkjaer vizuri.

Ndiyo maana nilisema kumuondoa Dalot lilikuwa kosa angekuwa option nzuri kwenye right wing kuliko hawa watoto wasiojulikana.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Masmilliano Allegry ndiyo kocha pekee aliyeko sokoni anayeweza kuifundisha united na kuipa mafanikio.

Ameprove katika vilabu viwili vikubwa duniani kuwa he is capable of doing the job.

Tatizo lililopo United usajili unaofanywa na Bodi hata kama kocha angekuwa na cv kubwa kiasi gani hawezi kufanikiwa kwa sababu hatapewa mahitaji wanayoyataka.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app

Ni kweli mkuu ngoja tuone
 
Back
Top Bottom