Huo ndy ukwl mkuu,,,Miaka 33 ndiyo unasifia hivi?
Km kweli safi
Cavani analijua goli mkuu na co utoto wa Martial.Kama hizi habari za €10m agent fee kwa Cavani ni za kweli Woodward anaanza kuharibu tulichojenga Chote, huyu jamaa sijui yupoje. Hapo hapo Amekataa 20m kama fee ya Telles.
Mkuu cavani hategemei cross pekee,,ana kufunga popote,,cross,, kona,,faulo,, mipira iliyokufa,,kuunganisha,,hata mipira ya kupenyeza kwenye njia,,,utafungwa..Man United haichezi kwa cross unless huwa unaangalia united tofauti ninayoitazama mimi.
Labda kama Mwalimu ataamua kubadilika na kumtumia zaidi Daniel James kushoto au Kulia au kama dili la Sancho litakamilika.
Kutoka kushoto United hawapigi cross yoyote unless Shaw apande.
Kulia it's only Daniel James ambaye anapiga cross
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Deal done mkuuKm kweli safi
Mkuu usitumie nguvu nyingi, ni kwamba shabiki wa utd anaweza kushabikia tm yyte ile duniani kasoro akishabikia hz tutamshangaa snMkuu mimi ni mfuasi na shabiki kindakindaki wa Manchester United. Nina jezi za kina York, Cantona, Beckham na Vernistrooy hadi leo kabatini...Sharp, Vodafone, Aon, AIG..nk.Nimeisifia Leeds kwa ubora wao katika kipindi ambacho team yangu inavurugwa na wapuuzi kadhaa pale kwenye uongozi. Hii ni sawa na kuvutiwa na mchepuko kwa upuuzi wa mke wa ndani, which is normal for a complete MAN.
Avue na jezi kabisa.Lazy boy martial akili imkae sawa
Do u Know the meaning of Derby?Hahahahahahahahah Fan wa Manchester united unainunga mkono Leeds united Serious Mkuu inaonesha hujawahi kuiangalia Derby ya Manchester United vs Leeds.
kama unafikiri cavani anakuja kuchukua namba ya martial nakupa pole. huyo anakuja kumpokonya namba ighalo as plan B, mfumo wa Ole upo wazi anataka fluid na Dynamic strikers, sio mtu wa kukaa mbele.Cavani analijua goli mkuu na co utoto wa Martial.
Anachukua namba ya Ighalo? Ighalo ana namba tangu lini au unamaanisha benchi, af unasema angekuja Telles ili ashushe majalo amshushie nani majalo ss? Magoli kibao tena ya wazi kina Martial wanakosa mbele pale huoni?kama unafikiri cavani anakuja kuchukua namba ya martial nakupa pole. huyo anakuja kumpokonya namba ighalo as plan B, mfumo wa Ole upo wazi anataka fluid na Dynamic strikers, sio mtu wa kukaa mbele.
na anakuja kulishwa na winga gani pale united? na full back yupi? unategemea greenwood ama rashford ampigie cross cavani? Usajili unaomake sense alitakiwa aje Telles kwanza specialist wa hayo majaro kabla ya kumleta cavani.
huu usajili upo against mambo yote ambayo tumepigania kama timu, na naona tunarudi nyuma kama msimu wa mourinho anafukuzwa ama lvg alivyoingia top 4, Targets za Kocha hazifuatwi na tunaanza kulipa hela nyingi kwa vitu visivyo na maana, sasa hivi utasikia kina greenwood na wao wanataka mshahara kama Cavani aka sanchez effect part 2.
unasema martial anakosa magoli? kuna weakness za martial ila sio kukosa magoli, ndio striker mwenye accuracy kubwa kama msimu wa tatu mfululizo kuanzia kipindi cha mou. si Hazard, aguero, vardy ama Kane ambae ana accuracy kumshinda yeye.Anachukua namba ya Ighalo? Ighalo ana namba tangu lini au unamaanisha benchi, af unasema angekuja Telles ili ashushe majalo amshushie nani majalo ss? Magoli kibao tena ya wazi kina Martial wanakosa mbele pale huoni?
Martial mechi ya pili namuona hana hata on target bado unasubiria pera chini ya muembe?
Wacha mtu mzima aje awafundishe watoto jinsi ya ku score zen asepe km watakuwa wafungaji kweli watakuwa wamepata darasa.
Dunia nzima inafahamu Cavani ni natural striker na alisha prove hilo ss huyo Martial ali prove kwa nani? Wacha Cavani aje wakurungu tuna jambo letu.
Cavani ni proven number 9 the Height, Shot power,Tap in Ability, Aerial presence ,Speed na hata Experience Anakuja kuongeza Attacking Quality ya United ni Bonge la Good Addition.unasema martial anakosa magoli? kuna weakness za martial ila sio kukosa magoli, ndio striker mwenye accuracy kubwa kama msimu wa tatu mfululizo kuanzia kipindi cha mou. si Hazard, aguero, vardy ama Kane ambae ana accuracy kumshinda yeye.
hakuna anaekataa hilo,Cavani ni proven number 9 the Height, Shot power,Tap in Ability, Aerial presence ,Speed na hata Experience Anakuja kuongeza Attacking Quality ya United ni Bonge la Good Addition.
It is in fact hii ni panic signing kama ya Ighalo tu.kama unafikiri cavani anakuja kuchukua namba ya martial nakupa pole. huyo anakuja kumpokonya namba ighalo as plan B, mfumo wa Ole upo wazi anataka fluid na Dynamic strikers, sio mtu wa kukaa mbele.
na anakuja kulishwa na winga gani pale united? na full back yupi? unategemea greenwood ama rashford ampigie cross cavani? Usajili unaomake sense alitakiwa aje Telles kwanza specialist wa hayo majaro kabla ya kumleta cavani.
huu usajili upo against mambo yote ambayo tumepigania kama timu, na naona tunarudi nyuma kama msimu wa mourinho anafukuzwa ama lvg alivyoingia top 4, Targets za Kocha hazifuatwi na tunaanza kulipa hela nyingi kwa vitu visivyo na maana, sasa hivi utasikia kina greenwood na wao wanataka mshahara kama Cavani aka sanchez effect part 2.
Ighalo-31 ya Africa inaweza kuwa 35Policy ya United kwa sasa ni kusajili mchezaji ambaye bado umri unaruhusu
Icard kwa sasa yupo kwenye 30, sidhani kama United wanaweza kumchukua unless awe special player of Messi, CR7 calibre
After all Icard ni mzuri lakini sio kama watu wanavyotaka tuamini, maana hata National team yenyewe pale Argentina hana uhakika wa kuitwa (sio namba, hana uhakika wa kuitwa)
Sent using Jamii Forums mobile app
Cavani ana 33.Ighalo-31 ya Africa inaweza kuwa 35
Cavani -34
Tulisema kumuuza Lukaku Kwa kisingizio sio dynamic striker lilikuwa kosa kubwa sana now replacement wamekuwa Ighalo toka China+ 34 years Cavani the good thing OGS ndio in charge makocha waliopita walitukanwa kufanya decision kama hizikama unafikiri cavani anakuja kuchukua namba ya martial nakupa pole. huyo anakuja kumpokonya namba ighalo as plan B, mfumo wa Ole upo wazi anataka fluid na Dynamic strikers, sio mtu wa kukaa mbele.
na anakuja kulishwa na winga gani pale united? na full back yupi? unategemea greenwood ama rashford ampigie cross cavani? Usajili unaomake sense alitakiwa aje Telles kwanza specialist wa hayo majaro kabla ya kumleta cavani.
huu usajili upo against mambo yote ambayo tumepigania kama timu, na naona tunarudi nyuma kama msimu wa mourinho anafukuzwa ama lvg alivyoingia top 4, Targets za Kocha hazifuatwi na tunaanza kulipa hela nyingi kwa vitu visivyo na maana, sasa hivi utasikia kina greenwood na wao wanataka mshahara kama Cavani aka sanchez effect part 2.
Pengine ighalo ana 45 ...Ighalo-31 ya Africa inaweza kuwa 35
Cavani -34
Mkuu martial sio natural centre forward.martial ni winger,,alikuwa anachezeshwa pale no 9 sababu mwenye uwezo huo pale man u hakuwapo,,kama unafikiri cavani anakuja kuchukua namba ya martial nakupa pole. huyo anakuja kumpokonya namba ighalo as plan B, mfumo wa Ole upo wazi anataka fluid na Dynamic strikers, sio mtu wa kukaa mbele.
na anakuja kulishwa na winga gani pale united? na full back yupi? unategemea greenwood ama rashford ampigie cross cavani? Usajili unaomake sense alitakiwa aje Telles kwanza specialist wa hayo majaro kabla ya kumleta cavani.
huu usajili upo against mambo yote ambayo tumepigania kama timu, na naona tunarudi nyuma kama msimu wa mourinho anafukuzwa ama lvg alivyoingia top 4, Targets za Kocha hazifuatwi na tunaanza kulipa hela nyingi kwa vitu visivyo na maana, sasa hivi utasikia kina greenwood na wao wanataka mshahara kama Cavani aka sanchez effect part 2.