Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hongereni kwa kupata ushindi wenu wa kwanza.

sisi tunagawa dozi kubwa kubwa tu.
#CFC 💙💙💙
 
1600945097665.png



Hii mikataba ya Barca kuna mda ina limit ambazo zinamnyima uhuru mchezaji kuhama. Wanafanya hivi lengo isitokee timu ya kumchukua, na huyu dogo anatimiza miaka 18 mwezi ujao huku greenwood akimzidi mwaka mmoja.
 
View attachment 1579238


Hii mikataba ya Barca kuna mda ina limit ambazo zinamnyima uhuru mchezaji kuhama. Wanafanya hivi lengo isitokee timu ya kumchukua, na huyu dogo anatimiza miaka 18 mwezi ujao huku greenwood akimzidi mwaka mmoja.
Hivyo vipengele ndio vilimsaidia Neymar akaondoka na Messi alitaka kutumia hicho kuondoka



Sent from my Redmi 6A using JamiiForums mobile app
 
Sahihi

Rashford ni Winga sio striker sababu hana kipaji kwenye upigaji mashuti

Martial ndio striker anacho kipaji kwenye upigaji wa mashuti
Hata martial pia hana sifa za striker aliyekamilika,,,,,,sio mzuri kwenye mipira ya vichwa,,wala kuunganisha cross..
Pia ni mlaini mno kwenye purukushani za mabeki..anafiti kwa timu kama Barcelona,, wanaotumia zaidi pasi za kupenyeza na sio man u wanaotegemea zaidi wingers..
 
Hata martial pia hana sifa za striker aliyekamilika,,,,,,sio mzuri kwenye mipira ya vichwa,,wala kuunganisha cross..
Pia ni mlaini mno kwenye purukushani za mabeki..anafiti kwa timu kama Barcelona,, wanaotumia zaidi pasi za kupenyeza na sio man u wanaotegemea zaidi wingers..
Man U tunategemea wingers wapi??...au unaongelea historia?
 
Jamani hakuna cheche zozote kuhusu uhamisho unaoihusu timu yetu?
Basi walau tuuze sisi hata kama imeshindikana kununua sababu COVID-19 imetuvurga kimapato!
 
Man U tunategemea wingers wapi??...au unaongelea historia?
Mkuu kama hatutegemei wingers,, Sancho ndy top target kwa sababu zipi?
wbs na Luke shaw jukumu lao ni kuwezesha mfumo wa full backs kupanda ili wingers waingie ndani na mabeki kutia cross ndani,,
Ndy maana scout wa man u wanahangaika kupata left back ambaye atakayeweza kuendana na mfumo huo wa kupanda na kutia cross ndani,,, mtu akisema man u inategemea wingers maana yake hata back za pembeni pia hugeuka wingers wakati timu inashambulia...sio kama wale wingers ndy wanaweka cross...
 
The best 007,

Japo umeongea kimasihara sana ila kiukweli mimi nilishasema hapa tokea muda mrefu sana timu yetu haina kiongozi uwanjani kabisa. Bruno unamuona ana uchungu akiwa uwanjani na kuna muda anawapa wenzie mpaka maelekezo. Lakini kwa sababu Ole ni mtu fulani muoga muoga hatoweza kumvua kitambaa Harry.
 
Naomba kuuliza!
Hivi kati yetu sisi Man Utd na Barcelona tunatofautiana kitu gani linapokuja swala la mgt/board nzima ya timu? Maana board yetu siyo ya mpira, na ndiyo maana kilio chetu kipo hapo tu; ila barca lazima board yake ni ya mpira, sasa ukisikia yanayoendelea kwao, loh! Ni sarakasi kwa kwenda mbele, mi nahisi kwetu kuna afadhali.
 
The best 007,

Japo umeongea kimasihara sana ila kiukweli mimi nilishasema hapa tokea muda mrefu sana timu yetu haina kiongozi uwanjani kabisa. Bruno unamuona ana uchungu akiwa uwanjani na kuna muda anawapa wenzie mpaka maelekezo. Lakini kwa sababu Ole ni mtu fulani muoga muoga hatoweza kumvua kitambaa Harry.
Mkuu sasa hiv pale Utdi 1st na 2nd Vice Captain ni akina nani ?
 
Sahihi

Rashford ni Winga sio striker sababu hana kipaji kwenye upigaji mashuti

Martial ndio striker anacho kipaji kwenye upigaji wa mashuti
Sio sahihi
Rashford sio winger , ni striker.

Pale United 1st eleven kuna Natural winger mmoja tuu- James.

Wengine hao ni mastriker wanaocheza kama wide strikers.
 
The best 007,

Japo umeongea kimasihara sana ila kiukweli mimi nilishasema hapa tokea muda mrefu sana timu yetu haina kiongozi uwanjani kabisa. Bruno unamuona ana uchungu akiwa uwanjani na kuna muda anawapa wenzie mpaka maelekezo. Lakini kwa sababu Ole ni mtu fulani muoga muoga hatoweza kumvua kitambaa Harry.
Sure mkuu, Bruno ana character za uongozi apewe yeye huyu Maguire kwnz tambala linamchanganya anashindwa hata kucheza vizuri cz ana pressure mnoo.
 
Sio sahihi
Rashford sio winger , ni striker.

Pale United 1st eleven kuna Natural winger mmoja tuu- James.

Wengine hao ni mastriker wanaocheza kama wide strikers.
Striker gani hapigi magoli ya vichwa? Na siku akipiga kichwa ,,,anapiga kafumba macho?
Tunahitaji natural no 9 na sio hao wa kuunga unga..
 
Back
Top Bottom