ryana fan
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 2,632
- 3,056
NYIE UMBWA MMEONA ARSENAL TUNAVYOPIGA MPIRA???
Mkuu kwani ushabiki mpaka umwite Mtu Mbwa?
Hata kama unafuraha ya ushindi. Is better utumie matani mengine na si kutukana.
NYIE UMBWA MMEONA ARSENAL TUNAVYOPIGA MPIRA???
Leta msimamo![]()
Asante , Leo mtatoka kweli ?Aroon Aroon, hongera kwa ushindi
Hizo zama Klopp hakuwepo Mourinho hakuwepo na Guardiola hakuwepoThe last time Manchester United lost their opening Premier League match by at least two goals was in 1995-96, when they lost 3-1 at Aston Villa.
They went on to win the title.
Mbona wamekuwa wakifanya ndugu!Match fitness ndiyo imetucost nilisema last week sioni United wakifanya mazoezi zaidi ya kusikia habari za hovyohovyo.
Matokeo ya lassez faire attitude ya Mwalimu na timu yake ndiyo haya.
Timu nzima ni kama hawajafanya training yoyote toka wamechomolewa Europa League.
Unadhani Bayern nao wanaomba wakutane na Man U!?Ee Mungu baba, sisi waja wako, Tunakuomba, Man U apangwe na Bayern huko UEFA.... AMINA
Hahaha system ya Man U ipo designed kumlaumu kocha....Kocha ndo first problem..tusijifiche fiche sana kwenye kuwa na wachezaji wabovu tu
Ubora wa wachezaji unatokana na kocha imara.NI MECHI YA KWANZA NA MSIMU NI KAMA UMEISHA..
Unajua muda mwingine tuwe wakweli kabisa.."HII KAZI NI KUBWA KWA OLE"..Ole ana matatizo kibao na kimbinu hajaweza kutufanya tuonekana kama ile United tuliyoizoea ikiwa kwenye ubora wake kipindi cha Fergie..Good thing ni kwamba huu msimu hamna kisingizio,,timu inajipigia vipasi uchwara tu muda wote
°°°Kuna watu wanasema hatuna timu kabisa[Who do you want to add in that squad to beat Palace?,Lewandowski?],hakuna krosi za maana zilizopigwa au nafasi kali zilizotengenezwa na viungo hata ukiwa na world class straika bado atapoteana...Too predictable
Sikatai tunahitaji;
✓RW
✓CB
✓Straika
✓LB Backup
Lakini bado kwa kikosi tulichonacho ilibidi lipigwe mbungi la kueleweka..Arsenal wanacheza pattern zinaonekana kabisa,sisi tumeshindwaje?..Arsenal wana kikosi bora kutushinda?
"""Ole kapoteza nusu fainali tatu kwa msimu mmoja,na kashindwa kabisa ku-manage gemu ndogo tu zenye tension"""This worry me
==============
Tuongee kuhusu hawa wachezaji;
Scott McTominay===Hatakuwa mchezaji bora kwetu ni mchezaji mwenye quality ndogo sana kumiliki dimba la kati,na kama Ole ameanza ujinga wake wa kumuacha Matic nje,basi we are in big trouble..Fred anaweza kucheza vizuri kushinda yeye Bigtime
Lindelof===What a softshit??...Watu wanasema Maguire ni mbovu kushinda Lindelof..serious?..huyu jamaa mlaini na mweupe sana..Hata Smalling hawezi kucheza vile..Tunahitaji CB
Rashford====Sioni ukuaji,nachoona kwake ni mchezaji ambaye kwa kipindi kirefu anakuwa out of form na naamini anakuwa anazidiwa hata na foward ya Engish Championship huko
Bruno+Pogba===Bado hamna kitu,,Yaani tangu Pogba ameanza kucheza na Bruno tumekuwa utopolo zaidi na haya mambo Ole
ni kama hayashughulikii
/////////
Tumetumia zaidi ya £800m toka Fergie aondoke zake lakini we aren't go no where..
Makocha pia wametuangusha sana,wamepewa wachezaji lakini pia wameshindwa kuwafanya wawe bora..leaving aside mambo ya kuletewa wrong choices
Je ni first target zake!? Ktk misimu sita hivi walimu wote waliokuja ukiondoa Ole wamelia kilio kimoja kwamba hawakuwahi kutimiziwa demands zao za machaguo ya kwanza. Hata huyu ole nae siku akifurushwa tunaweza kuja sikia nilimtaka fulani, Fulani, na Fulani sikupewa. ED Woodward hakwepi lawama ila na kocha nae uwezo ni Mdogo.Hizi habari za kumuandama Ed pale Timu inapoboronga ndiyo zinazomfanya OLE awe comfortable hata Timu ikose matokeo.
Yani unajua OLE tokea apewe Timu ameshatumia kiasi gani kwa Wachezaji?