Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hii mechi mlikuwa mnachezea goli 5 ila watoto wamekosa umakini.

Sio mbaya bado kuna mechi 37.
😀😀😀
Haha huku tumemaliza salama na sasa tunapeleka msiba emirates, haha adui muombe njaa kwa kweli hakuna namna😀😀😀😀
 
Leo mbona unakwenda kulala mapema hapana nawahi kuweka LUKU NILIAGIZWA OLESENDEKA HUYO
 
Sakho mamadou kanifichia washambuliaji wote uchwara wa manyumbu hiyo inaitwa "kupiga spana"...........yaan wale palace walikuwa wanapiga hata 5 sema hawako makin


Tafuten kocha manyumbu nyie maana inaonekana hata hamjui tatizo liko wap
 
255756166362_status_6c8067d2779047c09eaa8169c6f6402e.jpg
 
Back
Top Bottom