Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,568
Mwisho wa msimu Ole alete majibu kama bado anafaa au la.nilibahatika kuiangalia kiuvivu ile mechi hapo jana asubuhi (kupitia MAN UTD TV)....
aston villa walicheza vizuri zaidi dhidi yetu
==============
kocha anatakiwa awe na philosophy inayoonekana....
angalia alichokijenga marcelo bielsa pale leeds ndani ya muda mfupi
angalia anachokijenga arteta pale arsenal ndani ya muda mfupi
View attachment 1569397
picha haina uhusiano na thread hii
Lampard na Arteta wanaweza kumuaibisha mapema sana.
Arsenal wanacheza mpira unaonekana kabisa.


- Rio ferdinand played his 400th appearances for MUFC

★