Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwa tulipofikia na hizi tetesi za usajili zisizo na tija , naona tu man u wasitishe usajili mpaka dirisha dogo na tuendelee na wachezaji walewale. Maana kama ndio inafikia kutaka wachezaji walioflop kama Bale, yaani akija United ndio anakuja kupaki basi nyumbani kwake huku akila mshahara wa bure kama yule jirani mwenzetu tuliyemtoa Arsenal.
Yaani sasa hivi siamini kama Man u ndiyo inataka kusajili wachezaji ambao ni wazee kama Bale na Douglas Costa na alafu ni tatizo kubwa sana katika injuries.Mara tena eti tulikuwa tunamtaka Ndembele wa Barcelona aje kuungana na Phil jones , Eric bail na Rojo kwenye kitabu cha majeruhi. Hivi jamani! ligi ina mechi 38 alafu tunataka wazee wa miaka 30 waliofeli ligi zao ambao hata ligi zao wameshindwa kucheza hata mechi 25. Na hata hawana uwezo wa kufunga bao zaidi ya 3 ambacho ni kinyume na kanuni za kuitwa Winger bora. Kiukweli tumeishiwa mipango msimu huu kwenye swala la usajili, yaani tumetekwa na mchezaji mmoja tu (Sancho) ambaye hawezi kuja labda tu maajabu ya Musa.
Mimi naona kuliko kuchukua wachezaji walioflop ligi zao kuja kucheza ligi ngumu kama Uingereza ni bora tubaki na wachezaji tulionao kwa msimu huu lasivyo kuna hatari ya kuchukua failed projects sawa na mchezaji hewa.
 
Mkuu hakuna haja ya kumdadavulia..kama ameangalia gemu zetu msimu huu na anasema ole hana mbinu kabisa hata nikimdadavulia hawezi kuelewa..

Ole anaweza kuwa sio tactical masterclass kihivyo lakini tactics zake zimetupa positive result msimu huu,so kum-underrate hivyo sio poa
tupo pamoja mkuu humu tutakua tunaugulia wote na tutakumbushana japo siombei yatokee hayo, Ole ni kocha aliyebebwa na bahati msimu ulopita, hawezi kutupa matokeo katika wakati unao stahili, mau utd ni club kubwa inahtaji matokeo na mataji na sio kubahatisha. Ndo mana hata ww umesema sio tactical master class kivile af angalia club yetu ilivo.
 
★Me mwenyewe nilipoiona hii picha kama kuna ka picha flani kanakuja vile
Hii mechi sio ile ambayo cr7 anafunga jamaa wanarudisha mwishowe cr7 akawa anacheka lkn alipiga goli mechi ikaisha kwa ushindi au co hii.
 
Ila cr7 alikuwa anapendeza sn na hz jezi
tapatalk_1600170985780.jpeg
 
Kwa tulipofikia na hizi tetesi za usajili zisizo na tija , naona tu man u wasitishe usajili mpaka dirisha dogo na tuendelee na wachezaji walewale. Maana kama ndio inafikia kutaka wachezaji walioflop kama Bale, yaani akija United ndio anakuja kupaki basi nyumbani kwake huku akila mshahara wa bure kama yule jirani mwenzetu tuliyemtoa Arsenal.
Yaani sasa hivi siamini kama Man u ndiyo inataka kusajili wachezaji ambao ni wazee kama Bale na Douglas Costa na alafu ni tatizo kubwa sana katika injuries.Mara tena eti tulikuwa tunamtaka Ndembele wa Barcelona aje kuungana na Phil jones , Eric bail na Rojo kwenye kitabu cha majeruhi. Hivi jamani! ligi ina mechi 38 alafu tunataka wazee wa miaka 30 waliofeli ligi zao ambao hata ligi zao wameshindwa kucheza hata mechi 25. Na hata hawana uwezo wa kufunga bao zaidi ya 3 ambacho ni kinyume na kanuni za kuitwa Winger bora. Kiukweli tumeishiwa mipango msimu huu kwenye swala la usajili, yaani tumetekwa na mchezaji mmoja tu (Sancho) ambaye hawezi kuja labda tu maajabu ya Musa.
Mimi naona kuliko kuchukua wachezaji walioflop ligi zao kuja kucheza ligi ngumu kama Uingereza ni bora tubaki na wachezaji tulionao kwa msimu huu lasivyo kuna hatari ya kuchukua failed projects sawa na mchezaji hewa.
Man utd hawataki kumsajili Bale, Bali madrid wanatafuta mtu atakaelipa mshahara angalau kidogo wa Bale.

Bale analipwa 600k kwa wiki na hachezi, hivyo madrid wanataka kumsukuma club yoyote kwa mkopo na watalipa asilimia 60 ya mshahara wake (tetesi).

Mimi binafsi nataka sancho aje, ila kuliko kuanza msimu bila winga wa Kulia ni bora Bale wa bure ama Costa wa bei rahisi.
 
Man utd hawataki kumsajili Bale, Bali madrid wanatafuta mtu atakaelipa mshahara angalau kidogo wa Bale.

Bale analipwa 600k kwa wiki na hachezi, hivyo madrid wanataka kumsukuma club yoyote kwa mkopo na watalipa asilimia 60 ya mshahara wake (tetesi).

Mimi binafsi nataka sancho aje, ila kuliko kuanza msimu bila winga wa Kulia ni bora Bale wa bure ama Costa wa bei rahisi.
Lakini viwango vyao kwa sasa ni sawa na kuongeza akina Juan Mata wengine . Kwahyo kuliko kuongeza wachezaji wenye Majina makubwa sana ila viwango vyao vya kawaida kama tulivyo na Perreira + Mata ni bora tukabaki na hawa tunaotaka kuwauza.

Alafu pia hawa akina Costa na Bale wamewekwa sokoni kwa sababu hawana mchango mzuri kwenye timu zao,,, Yaani kama ambav-yo Man u imeweka sokoni wakina Perreira, Mata na Lingard. Utofauti wao katika soka nilioona ni kwamba wao wana majina makubwa ila viwango ni vilevile.
Kwahyo sioni haja ya kuchukua wachezaji ambao pacha zake ni Lingard na Perreira. Hii itakuwa kusajili ilimradi mashabiki wameona umesajili
 
★Kufikia tarehe 15/09/2013 copy dat Broh
Kwa enzi hizo ila baadae akamvuka
Acheni utani nyie, Giggs huyu huyu Aliecheza mechi karibia 1000? Pia Giggs na Scholes hawajatofautiana sana kustaafu ni kama mwaka 1 tu

Ryan Giggs - Manchester United Player Profile & Stats

Paul Scholes - Manchester United Player Profile & Stats

Hapo Giggs alikuwa mechi zaidi ya 100 zaid ya Paul.

Giggs kuanzia 1992 tayari ana no kikosi cha kwanza, Paul alianza kama 10 na alikuwa rotation baadae alipokuja kuwa CM ndio akawa anapata no.
 
Lakini viwango vyao kwa sasa ni sawa na kuongeza akina Juan Mata wengine . Kwahyo kuliko kuongeza wachezaji wenye Majina makubwa sana ila viwango vyao vya kawaida kama tulivyo na Perreira + Mata ni bora tukabaki na hawa tunaotaka kuwauza.

Alafu pia hawa akina Costa na Bale wamewekwa sokoni kwa sababu hawana mchango mzuri kwenye timu zao,,, Yaani kama ambav-yo Man u imeweka sokoni wakina Perreira, Mata na Lingard. Utofauti wao katika soka nilioona ni kwamba wao wana majina makubwa ila viwango ni vilevile.
Kwahyo sioni haja ya kuchukua wachezaji ambao pacha zake ni Lingard na Perreira. Hii itakuwa kusajili ilimradi mashabiki wameona umesajili
Kwa quality ya winga kwamba Bale na Costa wanajua kucheza winga kama Mata/lingard/perreira? Hapana Aisee. Majeruhi sawa ila full fit bale/Costa ni top players wanaocheza top teams nyingi tu.
 
Back
Top Bottom