Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wazo zuri, Ila sidhani Kama utakuwa simple ivyo..!
Kwa game time anayoipata pale Man City itakuwa rahisi sana Mahrez kuikubali offer ya man united.

Pili Man united kuna possibility ya kuwa na mshahara mkubwa na kuwa na endorsement nyingi zaidi kuliko akiwa Man city
 
kumbe deni la taifa bado ni himilivu, itapendeza zaidi kama tutaianza ligi tukiwa na wachezaji wetu tuliokwisha wazoea
Hahaha kuna kila dalili mechi yetu ya kwanza tukapoteza.

Toka tumerudi kutoa EUROPA sioni timu kama imefanya hata mazoezi walau kidogo.

Story zinazozunguka nyingi ni za hovyo hovyo mara Maguire kafungwa jela, Greenwood kaingiza demu kambini, Lindelof kakaba mwizi mtaani.

Juzi na Aston Villa wachezaji wetu naona fitness haipo kabisa tunaenda kucheza na Crystal Palace ambaye ameshaonja ushindi dhidi ya United msimu uliopita.

Wachezaji wetu wengi huenda wasiwepo mechi yetu na crystal palace Rashford ni majeruhi, Pogba hajulikani alipo, Bruno yuko analea mgeni huko Ureno, Martial ndiyo kwanza anakula fungate ya kuitwa tena katika kikosi cha ufaransa.

Ngoja tuone itakuwaje
 
Hahaha kuna kila dalili mechi yetu ya kwanza tukapoteza.

Toka tumerudi kutoa EUROPA sioni timu kama imefanya hata mazoezi walau kidogo.

Story zinazozunguka nyingi ni za hovyo hovyo mara Maguire kafungwa jela, Greenwood kaingiza demu kambini, Lindelof kakaba mwizi mtaani.

Juzi na Aston Villa wachezaji wetu naona fitness haipo kabisa tunaenda kucheza na Crystal Palace ambaye ameshaonja ushindi dhidi ya United msimu uliopita.

Wachezaji wetu wengi huenda wasiwepo mechi yetu na crystal palace Rashford ni majeruhi, Pogba hajulikani alipo, Bruno yuko analea mgeni huko Ureno, Martial ndiyo kwanza anakula fungate ya kuitwa tena katika kikosi cha ufaransa.

Ngoja tuone itakuwaje
nilibahatika kuiangalia kiuvivu ile mechi hapo jana asubuhi (kupitia MAN UTD TV)....
aston villa walicheza vizuri zaidi dhidi yetu
==============
kocha anatakiwa awe na philosophy inayoonekana....
angalia alichokijenga marcelo bielsa pale leeds ndani ya muda mfupi
angalia anachokijenga arteta pale arsenal ndani ya muda mfupi
1600072369003.png

picha haina uhusiano na thread hii
 
Nikijaribu kuitazama man utd, nina kila sababu ya kuamini, msimu huu tutafanya vizuri. Swala la kusajili wachezaji, naiponda board ya timu kwa sababu kuu mbili; Ya kwanza ni hao watu wapo kibiashara zaidi muda wote katika sajili sajili, kitu ambacho siyo kizuri ki utawala kwenye mambo ya michezo. Kwani hali hiyo ndani yake inatengeneza rushwa(10%) ambayo unaweza kuiona kwa ku observe decentralisation imekaaaje katika kushughulikia mustakabali wa kununua wachezaji. Ya pili ni sababu ya kisiasa, yaani siasa ikishachukua nafasi kubwa kwenye chochote, basi jua hapo mambo ni ubabaishaji na kuchoshana. Kama Sancho tunamtaka, basi inapaswa anunuliwe mapema ili timu kabla ya msimu kuanza wachezaji wawe wanapata muda wa kuzoeana kupitia mechi hizi za pre-season. Sasa dakika za mwisho utakuta Sancho ndiyo huyo, basi mashabiki mnafumba midomo, na ndiyo imeisha hiyo.
 
Hahaha kuna kila dalili mechi yetu ya kwanza tukapoteza.

Toka tumerudi kutoa EUROPA sioni timu kama imefanya hata mazoezi walau kidogo.

Story zinazozunguka nyingi ni za hovyo hovyo mara Maguire kafungwa jela, Greenwood kaingiza demu kambini, Lindelof kakaba mwizi mtaani.

Juzi na Aston Villa wachezaji wetu naona fitness haipo kabisa tunaenda kucheza na Crystal Palace ambaye ameshaonja ushindi dhidi ya United msimu uliopita.

Wachezaji wetu wengi huenda wasiwepo mechi yetu na crystal palace Rashford ni majeruhi, Pogba hajulikani alipo, Bruno yuko analea mgeni huko Ureno, Martial ndiyo kwanza anakula fungate ya kuitwa tena katika kikosi cha ufaransa.

Ngoja tuone itakuwaje
Mazoezi swafi na tutashinda

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
 
nilibahatika kuiangalia kiuvivu ile mechi hapo jana asubuhi (kupitia MAN UTD TV)....
aston villa walicheza vizuri zaidi dhidi yetu
==============
kocha anatakiwa awe na philosophy inayoonekana....
angalia alichokijenga marcelo bielsa pale leeds ndani ya muda mfupi
angalia anachokijenga arteta pale arsenal ndani ya muda mfupi
View attachment 1569397
picha haina uhusiano na thread hii
Hakika tunapaswa kujenga timu katika philosophy inayoeleweka wakati mwingine Solkjaer sijui anabahatisha bahatisha vile.

Kitu positive kwake ni pale anapocheza big games anaonekana kuwa na uwezo mkubwa wa kucheza hizi big games.

Naona toka ameanza kuofundisha united kashindwa big games nyingi kuliko alizofungwa.
 
Back
Top Bottom