Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 14,025
- 28,085
Achana na mambo ya Bruno Fernandez., kwakifupi Ni kwamba Leverkuku hana maajabu, msimu huu, hilo limeanza kuonekana kwenye ile mechi yake na Arsenal.Hizo penalty angefunga Bruno Fernandes ingekuwa story kubwa sana.