D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
ndio jambo muhimu zaidi tunalolihitaji kwa sasa, hata kama itatokezea kundi la wachezaji muhimu hawapo kwenye kikosi basi isiwe sababu ya team kucheza mpira usioeleweka.Hakika tunapaswa kujenga timu katika philosophy inayoeleweka wakati mwingine Solkjaer sijui anabahatisha bahatisha vile.
aston villa walimiliki mpira vizuri sana hapo juzi, ukija kwetu ni utopolo mtupu
★
★

.★
