The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Atasajiliwa karibu na deadline dayJadon Sancho SAGA limerejea..This time around SkySport wanasema kuna maelewano kiasi..
RW ni eneo la kuletwa mtu aisee..ni miaka na miaka tunazunguka zunguka tu
So kawekwa benchi na Pullisic misimu misimu mingapi pale BVB?rooney na lampard hawajawahi kudrop mpaka mwisho wa career.
na sancho sio kwamba yupo kwenye kiwango cha juu msimu mmoja, ni msimu wa tatu huu anacheza vizuri, unaanza wa 4.
★
Dar-es-salaam mkuu, info zao hizo hapo kwenye screenshot.
Au unaweza kuwacheki Dauda Sport Store (Maduka ya Shaffih Dauda) maduka yao yapo Dar na Dodoma. Utachagua lililo karibu na wewe. Pia maduka yote mikoani wanatuma.
Ila kwa Dauda Sport Store bei ni TZS. 30KView attachment 1564358
nimekazia kwa kiswahili kabisa
ko Manchester United we are on our own SPEED si kwamba hatu haraka★

Keshazeeka aisee duuhh★Hawa jamaa kumbe bado wapo tu dunia hiinilijuaga washafariki kabisa★
TRANSFER: Former Manchester United defender Rafael da Silva joins İstanbul Başakşehir
manutd | View attachment 1565324
Hajawahi kuwekwa benchi na PulisicSo kawekwa benchi na Pullisic misimu misimu mingapi pale BVB?
Hajawahi kuwekwa benchi, kama hufahamu Sancho sasa hivi ana miaka 20, miaka 3 iliopita wakati ana debut alikuwa na miaka 17, inamaana alikuwa anacheza timu ya watoto na wakubwa,So kawekwa benchi na Pullisic misimu misimu mingapi pale BVB?
Keshazeeka aisee duuhh