Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
Usiwe na mawazo finyu kiasi hiko kosa hapo ni moja tu la kuinteract na watu hasa kipindi hiki cha mlipuko ila kuhusu papuchi wala isingekuwa ishu kwani nani kakwambia akito..mba ndo awezi kuperform
Hawa jamaa mwenyewe nawashangaa yani mtu asiwe na demu
Bukta na soksi ndio zimeharibu zaidiCrazy! The season is lost by zebra jerseys even before the ball is kicked!View attachment 1563441
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Sasa mkuu kwa mtazamo wako,,,Fred,,au matic wanapaswa kumweka mmoja Wa hao nje?Katika formation zote za mpira pamoja na mabadiliko makubwa sana wa tactics uwanjani eneo pekee ambalo haijawahi kuwa disturbed ni kwenye defensive midfield.
Mifumo yote tunayocheza lazima kuwe kuna defensive midfield na mara nyingi lazima awe typical defensive midfielder.
CM anaweza akacheza mtu yeyote ila kwenye defensive Midfield lazima mchezaji awe na attribute mbili na kuu iwe ni defending and reading the game.
Hao wachezaji watatu hapo juu wana attribute ya kusoma mchezo ila kwenye defense hawako vizuri sana
Mkuu Donny siyo defensive Midfielder hivyo hata kwenye nafasi za kina Fred na Matic hawezi kucheza unless kuna ulazima wa kufanya hivyo.Sasa mkuu kwa mtazamo wako,,,Fred,,au matic wanapaswa kumweka mmoja Wa hao nje?
Hilo halikuwa lengo la ole kumnunuwa bdb..
Hakununuliwa huyo VDB Kucheza na Fred,,,
Sasa kama kuna mfumo unaojuwa zaidi ya Huo niletee warejesho watachezaje wote kwa pamoja?
% zao zipo kihalali, Ceo wa kampuni yoyote kubwa anakula mpunga mrefu mbali na mshahara wake akifikia Target fulani.Hivi Woodward na Judge huwa hawapigi 10% kweli kwenye deals za United?
Mbona anatuletea jersey za hovyo hivi ?% zao zipo kihalali, Ceo wa kampuni yoyote kubwa anakula mpunga mrefu mbali na mshahara wake akifikia Target fulani.
Na jamaa yupo Vizuri sana Kwenye Hizi deals, Amewapiga Adidas 750M kwenye Jezi, Chevrolet 450M, kila anapoingia hizo deals zinazovunja record basi ujue kuna kiasi fulani analipwa na Club, ndio maana unaona hana pato Fixed toka kwenye club, Mara mwaka huu Anapata 3m mwakani anapata 4m etc.
football side haiwezi na wala hana ubavu wa kupambana huko, tunapigwa hela ndefu sababu hana alternative, akimtaka mchezaji ndo huyo huyo kila mtu anajua Man U wanamtaka nani, hivyo wanatukazia.Mbona anatuletea jersey za hovyo hivi ?
Halafu mbona kwenye transfer tunapigwa hela ndefu sana ?
Wee mbulula huwezi kupinga kwa hoja mpaka utukane, unga utakuua wee falaUmejiunga 2009 lakini huwezi pambanua Mambo kwa kifupi wew ni bogaz
lembu
Wayne Rooney, Kareem Benzema, Ronaldinho Gaucho hawa wote waliwahi kuwa na kashfa ya ngono na makahaba lakini kila mtu anafahamu walichokifanya ktk soka hata David Beckham uliyemtaja hapo juu wamemzidi ktk mafanikio ya career zao. Wamebeba makombe mengi sana ktk career zao na kuweka rekodi kubwa sana ila mwanzo walionyesha tabia za hovyo kabisa.
Siwatetei Mason Greenwood na Phil Foden, ila ni lazima utambue ktk umri walio nao kuna vitu vingi sana vya kijinga kijana yeyote yule aliyefanikiwa sana ktk umri huo unaweza kuvifanya hasa hasa mafanikio yako yanapo ambatana na pesa na umaarufu. Hawa wengine hatujui ujinga wao ni kwa sababu tu hawakamatwi, ila kama tungeweza kufahamu upuuzi wa kila mchezaji labda hawa ni wema zaidi kuliko yaliyojificha nyuma ya wengine ambao hawakamatwi.
Nimesema hapo juu mwanzo wachezaji wengi (zaidi ya 99%) wanatoka familia zenye kipato cha kawaida kabisa yaani ktk humble background (working class or lower middle class families) ukitoboa unaposaini your first professional contract una-probability kubwa sana ya ku-compesate lifesytle uliyoikosa mwanzo na unakuwa unaamini ndivyo mtu aliyetoboa anapaswa kuishi. Pona pona pekee ni kwa watu wanaotoka kwenye familia zenye utajiri mkubwa kabla hata ya wao kuzaliwa mtu kama Andrea Pirlo, ambao ni wachache sana (less than 1%).
Sawa mkuu,,,tusubiri tuone,,,lakini niliposema hachezi na Fred nilimaanisha Fred,,out,Mac Tommy out,Mkuu Donny siyo defensive Midfielder hivyo hata kwenye nafasi za kina Fred na Matic hawezi kucheza unless kuna ulazima wa kufanya hivyo.
Kivyovyote vile Donny kaletwa kuwa backup ya Pogba na Bruno siyo kucheza pamoja kama unavyotaka kusema hapa.
Nimekwambia kwa vyovyote vile hakuna mfumo unaocheza bila defensive midfielder.
Mkuu, u are very right.Katika formation zote za mpira pamoja na mabadiliko makubwa sana wa tactics uwanjani eneo pekee ambalo haijawahi kuwa disturbed ni kwenye defensive midfield.
Mifumo yote tunayocheza lazima kuwe kuna defensive midfield na mara nyingi lazima awe typical defensive midfielder.
CM anaweza akacheza mtu yeyote ila kwenye defensive Midfield lazima mchezaji awe na attribute mbili na kuu iwe ni defending and reading the game.
Hao wachezaji watatu hapo juu wana attribute ya kusoma mchezo ila kwenye defense hawako vizuri sana
4 4 2 diamond tu ndiyo inaweza kuaccomodate Donny , pogba na BrunoMkuu, u are very right.
Hiyo formation ya kucheza bila defensive minded midfielder aliitumia Carlo Ancelotti akiwa Madrid 2014/15, akiwatumia Kroos, Modric na James Rodriguez. Initially ilimpa matokeo mazuri lkn baadae ilikuja ku backfire, nadhani huo msimu Madrid walimaliza trophyless.
Makocha waliofata baada ya hapo walim introduce Casemiro kama defensive minded midfielder.
Nakubaliana na wewe kabisa kwamba Van de beek ni back up ya Bruno na Pogba, unless tubadilishe mfumo, labda twende 4-4-2(diamond) , chini acheze matic/fred halafu juu ndo wacheze wote watatu