Babumawe
JF-Expert Member
- Sep 12, 2014
- 2,585
- 2,666
Uhuni ganiHuyu greenwood naona kaanza uhuni mapema sasa..kiwango kitapotea sio muda mrefu
Uhuni ganiHuyu greenwood naona kaanza uhuni mapema sasa..kiwango kitapotea sio muda mrefu
Uhuni gani
Siku nilipomuona amejichora tatoo na ndiyo cku hyo hyo nikasema kwisha habari yake.Kameingiza ''demu'' kambini huko Iceland wakati wako kwenye kambi ya timu ya taifa. Hii imepelekea yeye na mwenzie Fodden wa Man City kuondolewa kwenye timu ya taifa.
Haka katoto kanapaswa kujua kwamba mashabiki wa United tuna matarajio makubwa sana kwake na kuendekeza sana papuchi kunaweza kuharibu mustakabali na kiwango chake.
Tatoo sio kigezo pekee cha kumfanya mchezaji awe na kiwango kibovu.Siku nilipomuona amejichora tatoo na ndiyo cku hyo hyo nikasema kwisha habari yake.
Sawa mkuu ila nilisema mm cku ile ile nilipoona kajichora kwamba keshaharibiwa huyu mtoto na leo tumeona, ss tusubiri kuflop kwake kwaja.Tatoo sio kigezo pekee cha kumfanya mchezaji awe na kiwango kibovu.
Wapo wengi wana tatoo na wanafanya vizuri sana.
Mkuu hilo dua baya sasa.Sawa mkuu ila nilisema mm cku ile ile nilipoona kajichora kwamba keshaharibiwa huyu mtoto na leo tumeona, ss tusubiri kuflop kwake kwaja.
Mm naongelea utovu wa nidhamu wala siongelei demu, yy ni mwanaume lazima awe na mwenza icpokuwa nasema kuwa nilipomuona amejichora kuna kitu kilinambia kuwa tayari ameshaharibika japo najuwa wapo wengi waliojichora mfano Messi but I was commenting about Greenwood.Mkuu hilo dua baya sasa.
Nilichoona kakosea hapo ni kwenda nae kambini tu, lakini kua na dem sio kosa.
Kwenye utovu wa nidham hata mimi siungi mkono.Mm naongelea utovu wa nidhamu wala siongelei demu, yy ni mwanaume lazima awe na mwenza icpokuwa nasema kuwa nilipomuona amejichora kuna kitu kilinambia kuwa tayari ameshaharibika japo najuwa wapo wengi waliojichora mfano Messi but I was commenting about Greenwood.
Tetesi zinasemaje kuhusu huyu dogo?Huyo mtu wa kuitwa badiashile, sio mtu mzuri bisa.
Anakaba mpaka jasho.
Aje faster.
Kuchora tattoo wala co utovu wa nidhamu ila ni moja kati ya ishara zinazopelekea chipukizi kulewa sifa na kujiona wako vzr mwishowe kuharibikiwa kabisa cz baadae huwa inapelekea mtu kukesha kwenye kioo kujiweka vzr huku ukipoteza mda wa mazoezi, all in all tuache tu km ilivyo cz kila mtu na muono wake.Kwenye utovu wa nidham hata mimi siungi mkono.
Lakini ndio mara yake ya kwanza.
Swala la tattoo hilo sio utovu wa nidham, inatokana na jinsi malezi ya familia ama utamaduni wa watu flani.
Kwa wazungu kuchora tattoo hilo ni kawaida tu.
Huyo tusahau..Tetesi zinasemaje kuhusu huyu dogo?
Muda wa mazoezi anajipangia yeye au klabu ndo inapanga?..Kuchora tattoo wala co utovu wa nidhamu ila ni moja kati ya ishara zinazopelekea chipukizi kulewa sifa na kujiona wako vzr mwishowe kuharibikiwa kabisa cz baadae huwa inapelekea mtu kukesha kwenye kioo kujiweka vzr huku ukipoteza mda wa mazoezi, all in all tuache tu km ilivyo cz kila mtu na muono wake.
Why?Huyo tusahau..
Kuchora tattoo wala co utovu wa nidhamu ila ni moja kati ya ishara zinazopelekea chipukizi kulewa sifa na kujiona wako vzr mwishowe kuharibikiwa kabisa cz baadae huwa inapelekea mtu kukesha kwenye kioo kujiweka vzr huku ukipoteza mda wa mazoezi, all in all tuache tu km ilivyo cz kila mtu na muono wake.
Duuu vichezaji vyetu bwanaKameingiza ''demu'' kambini huko Iceland wakati wako kwenye kambi ya timu ya taifa. Hii imepelekea yeye na mwenzie Fodden wa Man City kuondolewa kwenye timu ya taifa.
Haka katoto kanapaswa kujua kwamba mashabiki wa United tuna matarajio makubwa sana kwake na kuendekeza sana papuchi kunaweza kuharibu mustakabali na kiwango chake.