Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester is

Kidogo tufanane na Juventus

Naipenda sana Manchester United

Kamwe sitobadilika
IMG_8603.jpg
 
Sawa mkuu,,,tusubiri tuone,,,lakini niliposema hachezi na Fred nilimaanisha Fred,,out,Mac Tommy out,
Ila kwa mujibu wa ole anahitaji kuwachezesha wote viungo 3..kwa pamoja sababu anahitaji magoli zaidi,,
Kama watacheza wote kwa pamoja pengine matic ndy atakuwa DM na kuua winga moja,,,tunachezesha striker mmoja,, na winger moja,,lakini hao watatu ni special kwa pamoja mkuu..
Ila sidhani kama tutacheza ligi nzima kumtegemea matic kama DM,,
Pengine ana option zingine za kuwachezesha,,
Ila mfumo ni Fernandez.. Pogba ,,VDB...kwa pamoja
Timu inahitaji balance..sio lazima VDB aingie kwenye timu direct..na Ole hawezi kusema kuwa amenunua mchezaji ili acheze na Bruno na Pogba
 
Katika formation zote za mpira pamoja na mabadiliko makubwa sana wa tactics uwanjani eneo pekee ambalo haijawahi kuwa disturbed ni kwenye defensive midfield.


Mifumo yote tunayocheza lazima kuwe kuna defensive midfield na mara nyingi lazima awe typical defensive midfielder.

CM anaweza akacheza mtu yeyote ila kwenye defensive Midfield lazima mchezaji awe na attribute mbili na kuu iwe ni defending and reading the game.

Hao wachezaji watatu hapo juu wana attribute ya kusoma mchezo ila kwenye defense hawako vizuri sana

Sio Kweli Mkuu, Simba kwa Miaka Mingi chini ya Mkude inacheza bila typical DM, Simba inayotumia Typical DM ni ile uliyomuona James Kotei akicheza na sasa Fraga anapocheza nje ya hapo inacheza bila Typical DM, Mfumo Maarufu wenyewe wa 4-4-2 hauna Typical Defensive Midfielder labda washift to 4-1-3-2.Typical DM anacheza Katikati peke yake akiwa mbele ya backline.Mfumo ambao DM anaonekana dhahiri ni 4-3-3 vinginevyo mifumo mingi ya Sasa inaua DM wa asili kwa kuchezesha viungo wawili ambao wanagawana nusu uwanja kulia na kushoto hivyo napinga hoja yako DM haijaguswa, imeguswa sana na inaguswa sana ndio Maana katika dunia ya Leo wachezaji viungo wakabaji wa kariba ya Claude Makelele wamepotea na hawaonekani tena, wamebaki wachache na hawaonekani kivile
 
Sio Kweli Mkuu, Simba kwa Miaka Mingi chini ya Mkude inacheza bila typical DM, Simba inayotumia Typical DM ni ile uliyomuona James Kotei akicheza na sasa Fraga anapocheza nje ya hapo inacheza bila Typical DM, Mfumo Maarufu wenyewe wa 4-4-2 hauna Typical Defensive Midfielder labda washift to 4-1-3-2.Typical DM anacheza Katikati peke yake akiwa mbele ya backline.Mfumo ambao DM anaonekana dhahiri ni 4-3-3 vinginevyo mifumo mingi ya Sasa inaua DM wa asili kwa kuchezesha viungo wawili ambao wanagawana nusu uwanja kulia na kushoto hivyo napinga hoja yako DM haijaguswa, imeguswa sana na inaguswa sana ndio Maana katika dunia ya Leo wachezaji viungo wakabaji wa kariba ya Claude Makelele wamepotea na hawaonekani tena, wamebaki wachache na hawaonekani kivile
Mkude ana sifa hizo mbili nilizokutajia hapo juu.

Ana attributes za defending and reading the game ndiyo maana sometimes anatumika katika role ya DM.

Ukitumia 4 4 2 diamond mara nyingi unakuwa na wachezaji wengi ambao ni CMs wenye attributes za defending.

Mtu anayetumia mfumo wa 4 4 2 diamond ni Diego Simeone anaweza kuwatumia Partey typical DM, Koke ambaye ana attributes hizo mbili za defending na reading the game, Saul Nigeuz na Lronte au Hector Herera wachezaji watatu wote niliowataja ukiondoa Saul Niguez wanaweza kucheza DM bila shida yoyote.

Yawezekana wewe inapozungumzwa DM unaitafsiri kama the MAKELELE ROLE ambayo siyo defense midfielder wote wanacheza Makelele Role.

Kuna kocha mmoja aliwahi kuondoa typical DM kwenye midfield naye ni Carlo Anceloti na AC Milan lakini alimtumia Pirlo kama regista lakini kwenye flanks zake pirlo alikuwa na wachezaji wenye attributes za defensive midfielders ambaye ni Genarro Gattusso.

Kumbuka DM inachezwa kutegemea na formation anayotumia kocha na aina ya philosophy ya mwalimu.

Italy wanatumia registas ndiyo maana DM wa Italy wote ni good passers ambao wako comfortable sana kucheza mpira, mfano Pirlo, Marco Verrati, Daniel Derossi, Jorginho etc lakini hawa mara nyingi lazima awe partnered na mchezaji anayekaba sana. Nikuulize tu kwanini Jorginho hafanyi vizuri Kante anapokuwa hayupo uwanjani ? Sababu kubwa anakuwa hana anchor ya kumfanya afanye role yake vizuri as a regista.

Pep Guardiola anatumia 4 3 3 hapo lazima DM akiwa Barca ni Bousquest, Bayern Xabi Alonso au Martinez, Man city ni Fernandinho sasa hivi ni Rodri.


English Footbal Culture DM wengi ni typical destroyer ambao wengi wanapiga square passes lakini wanakuwa anchored na CM wenye quality ya defence na attacking Uingereza walijaribu kuwatumia Steven Gerrad, Paul Scholes na Lampard kwenye squad moja bila mafanikio simply hawa watu wote ni kama CM wanaohitaji DM nyuma yao.

Hivyo hakuna formation inayochezwa vila DM isipokuwa namna inavyochezwa ndiyo inavyoweza kubadilika lakini mifumo yote inatumia DM.
 
Mkude ana sifa hizo mbili nilizokutajia hapo juu.

Ana attributes za defending and reading the game ndiyo maana sometimes anatumika katika role ya DM.

Ukitumia 4 4 2 diamond mara nyingi unakuwa na wachezaji wengi ambao ni CMs wenye attributes za defending.

Mtu anayetumia mfumo wa 4 4 2 diamond ni Diego Simeone anaweza kuwatumia Partey typical DM, Koke ambaye ana attributes hizo mbili za defending na reading the game, Saul Nigeuz na Lronte au Hector Herera wachezaji watatu wote niliowataja ukiondoa Saul Niguez wanaweza kucheza DM bila shida yoyote.

Yawezekana wewe inapozungumzwa DM unaitafsiri kama the MAKELELE ROLE ambayo siyo defense midfielder wote wanacheza Makelele Role.

Kuna kocha mmoja aliwahi kuondoa typical DM kwenye midfield naye ni Carlo Anceloti na AC Milan lakini alimtumia Pirlo kama regista lakini kwenye flanks zake pirlo alikuwa na wachezaji wenye attributes za defensive midfielders ambaye ni Genarro Gattusso.

Kumbuka DM inachezwa kutegemea na formation anayotumia kocha na aina ya philosophy ya mwalimu.

Italy wanatumia registas ndiyo maana DM wa Italy wote ni good passers ambao wako comfortable sana kucheza mpira, mfano Pirlo, Marco Verrati, Daniel Derossi, Jorginho etc lakini hawa mara nyingi lazima awe partnered na mchezaji anayekaba sana. Nikuulize tu kwanini Jorginho hafanyi vizuri Kante anapokuwa hayupo uwanjani ? Sababu kubwa anakuwa hana anchor ya kumfanya afanye role yake vizuri as a regista.

Pep Guardiola anatumia 4 3 3 hapo lazima DM akiwa Barca ni Bousquest, Bayern Xabi Alonso au Martinez, Man city ni Fernandinho sasa hivi ni Rodri.


English Footbal Culture DM wengi ni typical destroyer ambao wengi wanapiga square passes lakini wanakuwa anchored na CM wenye quality ya defence na attacking Uingereza walijaribu kuwatumia Steven Gerrad, Paul Scholes na Lampard kwenye squad moja bila mafanikio simply hawa watu wote ni kama CM wanaohitaji DM nyuma yao.

Hivyo hakuna formation inayochezwa vila DM isipokuwa namna inavyochezwa ndiyo inavyoweza kubadilika lakini mifumo yote inatumia DM.
Maelezo mazuri, lakini hoja kuu ulisema DM haiguswi na maelezo yako yanaonesha jinsi gani inaguswa kwa kubadilishwa hivi ama vile.Mpira wa sasa Ile Six ya kizamani inapotezwa sana, Nadhani focus imebadilika kutoka kuwaza kuzuia kwa kunyang'anya mpira toka kwa adui kwenda kuzuia kwa kukaa/kumiliki Mpira.Asante kwa maelezo yako mazuri though
 
Timu inahitaji balance..sio lazima VDB aingie kwenye timu direct..na Ole hawezi kusema kuwa amenunua mchezaji ili acheze na Bruno na Pogba
Mkuu hapa timu ilichezaje na viungo 4?
Je haikuwa na balance?
Usipende kukariri Mkuu.
Ole keshasema anachezesha wote POGBA,,FERNANDEZ,, VDB kwa pamoja,,,sasa nashindwa kuelewa taitizo lipo wapi?
Hyo formation tulimpiga Chelsea 2 - 1 .
Screenshot_2020-09-09-01-12-07.jpeg
 
Mkuu hapa timu ilichezaje na viungo 4?
Je haikuwa na balance?
Usipende kukariri Mkuu.
Ole keshasema anachezesha wote POGBA,,FERNANDEZ,, VDB kwa pamoja,,,sasa nashindwa kuelewa taitizo lipo wapi?
Hyo formation tulimpiga Chelsea 2 - 1 .View attachment 1563841
Na mbn sioni tatizo kwa wote kucheza, mana hapo kuna mmojawapo either Rashford au greenwood itabd asubili km tutacheza 4-3-3, uyo de Beek atacheza either 7 au 11 kwakuwa ni kiungo mshambuliaji huyo jombaa na wala sio mkabaji.
Hapo katikati km kawaida itabaki vile vile tu kaka.
 
Na mbn sioni tatizo kwa wote kucheza, mana hapo kuna mmojawapo either Rashford au greenwood itabd asubili km tutacheza 4-3-3, uyo de Beek atacheza either 7 au 11 kwakuwa ni kiungo mshambuliaji huyo jombaa na wala sio mkabaji.
Hapo katikati km kawaida itabaki vile vile tu kaka.
Ndy nikasema wataua winga moja,,matic atacheza chini hao watacheza kwa pamoja..
Au wanaweza wakacheza wote bila matic kama mfumo huo...
IMG_20200831_231212_072.jpeg
 
Mkuu hapa timu ilichezaje na viungo 4?
Je haikuwa na balance?
Usipende kukariri Mkuu.
Ole keshasema anachezesha wote POGBA,,FERNANDEZ,, VDB kwa pamoja,,,sasa nashindwa kuelewa taitizo lipo wapi?
Hyo formation tulimpiga Chelsea 2 - 1 .View attachment 1563841
viungo wanne umewaona wapi hapo?
bissaka maguire lindelof shaw -mabeki
mctominay matic pogba - viungo
rashford winga kushoto, mata winga kulia, martial mshambuliaji katikati

zipo mechi tunacheza na viungo wanne (midfielders wa kati) mfano ya everton, 4-3-1-2 ila sio hio.
 
nje ya thread:
  1. paundi millioni 63 = wachezaji watatu
  2. paundi millioni 50 = mchezaji mmoja anayelingana kiuwezo na lucas digne
eveton wamezoea kufanya bishara kubwa za average players lakini mwishoni wanakuwa flopping, ngoja tusubirie miujiza ya carlo ancelotti
PTER natumai usajili wa van der beek umekata kiu yako
1599623815738.png
 
Back
Top Bottom