The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Dalot yuko vzr mkuu cjui kwnn Ole asimpe mda, kuhusu lingard huyo tunahesabu ameshastaafu.Smalling, Phil jones na Rojo washawekwa sokoni kuuzwa ila Smalling anatakiwa na Roma huku Marcos Rojo Lazio inamtaka pia.,,,,
Diogo Dalot hauzwi maana Bisaka akiumia yeye ndiye replacement yake na hakuna mwingine. Kwa upande wa lingard sidhani kama atauzwa huyo atazeekea hapo OT.

