fuentte
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 3,210
- 9,206
kama nguo ya kulalia vile!
kama nguo ya kulalia vile!
Sisi bado tunashangaa tu yani.Ila Chelsea katulia sana kwenye hii transfer window..6 deals closed
Duuu hizi jezi hata bure sivai
Ki Arnold hiki cha Liverpool!?Sure, na ingempendeza sn unajua mm binafsi ktk namba kubwa kubwa nnazoona zinapendeza kuvaa mojawapo ni 20, lkn kuna zngne pia kwasabu ya influence ya wachezaji mfano 23-beckham, 19-Messi, 66-Arnold na 18-Scholes.
YahKi Arnold hiki cha Liverpool!?
Mkuu Chelsea ilikuwa mbovu sn usifananishe na utd inayohitaji nguvu kdg, ila nakuunga mkono kwenye suala la timua timua mana km bodi haimpi pesa Ole anatakiwa ajiongeze auze wachezaji wasio na tija apate pesa ya kununulia anaowataka mbn upupu upo mwingi tu pale ambao akiwapa Aston Villa hawakatai.Chelsea atatoa challenge sana next season maana ukweli usemwe lampard kajitahidi sana msimu wake wa kwanza na hakusajili kabisa lakini kafanya vizuri, now msimu wa pili na kashakamilisha sajili 6 aisee ni mshike mshike..
Sasa hii timu ya Ole dah haina mapungufu nadhani wacha tuone tutafika wapi tunalea sana wachezaji sisi, hawaoni Barcelona kaanza safisha safisha ya wachezaji tena ambao bado ni World class lakini wamefunguliwa milango sisi tunamlea tu jones na genge lake.
Kwenye msimu wa kwanza wa OGS pale united tulisihi sana zifanyike sajili nyingi ili baada ya hapo iwe ni kuongezea penye mapungufu tu madirisha yanayofuata. Kuna watu humu walipinga kuwa haiwezekani kusajili wachezaji 4-5 wa kikosi cha kwanza kwa dirisha moja lakini Chelsea anafanya tena kwa urahisi sana.Ila Chelsea katulia sana kwenye hii transfer window..6 deals closed
Mkuu umeandika kwa hisia mno just calm down and everything will be okay.Kwenye msimu wa kwanza wa OGS pale united tulisihi sana zifanyike sajili nyingi ili baada ya hapo iwe ni kuongezea penye mapungufu tu madirisha yanayofuata. Kuna watu humu walipinga kuwa haiwezekani kusajili wachezaji 4-5 wa kikosi cha kwanza kwa dirisha moja lakini Chelsea anafanya tena kwa urahisi sana.
Kwa sasa united ilitakiwa kuwa inaboresha kikosi kwa mchezaji mmoja au wawili kila dirisha na sio kulilia wachezaji walau 3-4 wa kikosi cha kwanza. Ziyech,Werner,Havertz,Silva na Chillwell wanaingia moja kwa moja kwenye kikosi cha kwanza cha lampard labda tu ligi iwakatae. Lakini united timu tunayoambiwa ni tajiri zaidi duniani inashindwa kufanya hili. Mnapewa Maguire mnachanganyiwa na James na wanbisaka ili ionekane tumefanya sajili nyingi.
Kama ni habari ya kupandisha watoto wa academy,Chelsea pia amefanya hilo msimu ulioisha tena walifanikiwa kwa kiasi kikubwa lakini msimu huu wameingia sokoni kwa nguvu kubwa sana.
Inawezekana sisi malengo yetu sio tena ubingwa ila kuingia top 4 ili tushiriki uefa. Muda utatuambia vizuri.
Mkuu hii timu itakuwa si tajiri kama tunavyoaminiKwenye msimu wa kwanza wa OGS pale united tulisihi sana zifanyike sajili nyingi ili baada ya hapo iwe ni kuongezea penye mapungufu tu madirisha yanayofuata. Kuna watu humu walipinga kuwa haiwezekani kusajili wachezaji 4-5 wa kikosi cha kwanza kwa dirisha moja lakini Chelsea anafanya tena kwa urahisi sana.
Kwa sasa united ilitakiwa kuwa inaboresha kikosi kwa mchezaji mmoja au wawili kila dirisha na sio kulilia wachezaji walau 3-4 wa kikosi cha kwanza. Ziyech,Werner,Havertz,Silva na Chillwell wanaingia moja kwa moja kwenye kikosi cha kwanza cha lampard labda tu ligi iwakatae. Lakini united timu tunayoambiwa ni tajiri zaidi duniani inashindwa kufanya hili. Mnapewa Maguire mnachanganyiwa na James na wanbisaka ili ionekane tumefanya sajili nyingi.
Kama ni habari ya kupandisha watoto wa academy,Chelsea pia amefanya hilo msimu ulioisha tena walifanikiwa kwa kiasi kikubwa lakini msimu huu wameingia sokoni kwa nguvu kubwa sana.
Inawezekana sisi malengo yetu sio tena ubingwa ila kuingia top 4 ili tushiriki uefa. Muda utatuambia vizuri.
Sahzi hata wangepatikana Sancho na Upomecano ingekuwa poa,ila huyo beki niliona mahali wanasema hayupo tayari kwa sasa KWA sababu anasema anafurahia sana maisha ya Leipzig labda msimu ujao
Hizi tetesi zikiwa kweli na timu ikiwa walau kama hivi sio mbaya... January unaongeza tena