Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tulichojifunza ni kwamba timu yetu bado sana. OGS ni mzito mno kufanya sub. Zaidi ni kwamba EPL imeshuka sana.
Kumbuka last season epl ilibeba EUROPA na UEFA champions league.

Imeshuka vipi ?

Timu iko kwenye fatigue kubwa sana na mwalimu nae na lesz faire sana haoni haja ya kuwahimiza wachezaji wake cha kufanya.

Kuna wachezaji hawatimizi majukumu yao sawa sawa hasa Rashford kutokana na lesz faire attitude ya mwalimu.
 
"You don't respect players and supporters. And you kill the mentality of the good honest people around you" - Jose Mourinho.

manutd ilipaswa kumuelewa huyu mzee mapema sana.
IMG_20200817_001507.jpg
 
Man Utd in major cup competitions this season:

EFL Cup: Semi-final
FA Cup: Semi-final
#UEL: Semi-final

A third consecutive trophy-less season.
 
Bruno pasi zote anazotoa hazifanyiwi kazi yaani kiukweli striking force inamuungasha. Ole hatakiwi kulaumiwa maana walioshindwa kutumia nafasi walikuwa uwanjani ,, huku kwenye sub hakuna fighter yoyote ambaye angeleta mabadiliko. Ndio maana pale front 3 mbele hakuna mwenye mpinzani hadi kocha anajiuliza aweke nani.
 
Nimeanza kuangalia ligi ya uingereza mwaka 1995 nina uzoefu wakutosha kwa ninalosema, leo Man U walifanya kilakitu kinachotakiwa kupata ushindi ila imeshindikana, kilakitu uwanjani walifanya sahihi. Ukiona kwenye soka timu inashambulia mbaka defence yote ya mpinzani inapotea inaki one against one na kipa kama nafasi tatu na bado hamfungi ujue siku umekataa.
Sio bahati kubali tu kuwa kipa wa Sevilla alikuwa vizuri na forwad wenu miguu yao inakuwa na tatizo wanapoliona goli
 
Back
Top Bottom