Ni kweli lakini binafsi naona Inter ni tishio zaidi. Wolves ni kweli kawafunga ila mara ya mwisho mlisuluhu naye na Bruno hakuwepo, next time mkikutana naye naamini mna fighting chance kubwa kuliko mwanzo.Brother wolves wametupiga mara nyingi ujue kuliko hata tulivyowapiga..ni wasumbufu sn.


