ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 18,428
- 24,145
enzi ya fergieKwa mara ya kwanza nakaribia kumaliza kuangalia mechi zote za msimu bila kumiss hata moja kwenye mashindano yote..yaani complete dakika 90
Kuna wenzangu mmefanikiwa hili?
enzi ya fergieKwa mara ya kwanza nakaribia kumaliza kuangalia mechi zote za msimu bila kumiss hata moja kwenye mashindano yote..yaani complete dakika 90
Kuna wenzangu mmefanikiwa hili?
heeeee fundi wa mpira kaondoka bureDaaa hivi Angel Gomes ni kweli ameshindwa kumeet potential yake au benchi letu la ufundi ndio lina mashudu!? Jamani nimesikitika sana huyu dogo kuondoka free!!
Sent using Jamii Forums mobile app
We acha tu mm imeniuma sana huyu mtoto cz najua tutaenda kumrudisha kwa £200mil we subiri uone mkuu.Daaa hivi Angel Gomes ni kweli ameshindwa kumeet potential yake au benchi letu la ufundi ndio lina mashudu!? Jamani nimesikitika sana huyu dogo kuondoka free!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Baadae ndio tunamnunua kwa gharama kama PogbaDaaa hivi Angel Gomes ni kweli ameshindwa kumeet potential yake au benchi letu la ufundi ndio lina mashudu!? Jamani nimesikitika sana huyu dogo kuondoka free!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mimi sijafurahi alipaswa apewe nafasi Chong ni utopolo tu hamna kitu, yule Gomez ile miguu ina balaa dah.Daaa hivi Angel Gomes ni kweli ameshindwa kumeet potential yake au benchi letu la ufundi ndio lina mashudu!? Jamani nimesikitika sana huyu dogo kuondoka free!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuhusu Daniel James ni mkimbiaji kimbiaji tu yule hana tofauti na Sterling so anahitaji kocha mzuri wa kumtengeneza.Daniel James sijui kama atarudi kuproduce vitu kama alivyoanza msimu..
Mata bhana..uzee ushammendea,sema ametupa assist mbili.
Bailly nikimuangaliaga naona ni beki kitasa lakini ndani ya sekunde chache unasema tena huyu beki ni level za Gwambina Fc
Lingard ameonyesha uhai kidogo leo
Germany,Here we come
Katika wote hao Inter ndiyo hatari sana. Huyu Wolves kakuzoea ila Inter hua inakua compact mabeki watata na wanakuwekea watu 5 eneo la kiungo, kazi ni kwako kutoboa.Kimsingi kuna timu tatu tu ndo naziogopa humu
*Inter
*wolves
*Sevilla
*
Najua lazima tutakutana na moja wapo hapo.
GGMU GGMU
Kuna mechi moja Baily alipigwa mpira wa kichwa akatolewa. Alikaa nje kwa muda, siku alivyokuja kurudi uwanjani hakukaa sana akatolewa tena, tangu ile siku ndiyo miyeyusho ikaanza.Daniel James sijui kama atarudi kuproduce vitu kama alivyoanza msimu..
Mata bhana..uzee ushammendea,sema ametupa assist mbili.
Bailly nikimuangaliaga naona ni beki kitasa lakini ndani ya sekunde chache unasema tena huyu beki ni level za Gwambina Fc
Lingard ameonyesha uhai kidogo leo
Germany,Here we come
Kaenda Lile nao wamempeleka kwa mkopo huko ureno kwenye klabu ya Boavista fcheeeee fundi wa mpira kaondoka bure
aende barca tu kumrithi messi
Brother wolves wametupiga mara nyingi ujue kuliko hata tulivyowapiga..ni wasumbufu sn.Katika wote hao Inter ndiyo hatari sana. Huyu Wolves kakuzoea ila Inter hua inakua compact mabeki watata na wanakuwekea watu 5 eneo la kiungo, kazi ni kwako kutoboa.
Mi siku Arsenal tunatolewa sikuamini.
Sisi MAN U ngoja tuendelee kujifukiza...