Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ukweli ni kwamba Man United naye hayuko kwenye hali yake ya zamani lakini occasionally amekuwa akitokea kwenye mashindano makubwa.

Kuhusu transfer Man united nao kuhusu kuvutia vipaji imepungua lakini financial muscles zao zinawapa uwezo wa kusajili wachezaji wanaowataka.

Hali ya matokeo uwanjani kwa Arsenal imegeuka kuwa hali ya kawaida Arsenal kufungwa na timu kubwa au ndogo siyo habari tena ushindi kwa Arsenal sasa hivi ni bahati tena siyo uwezo wa team. So sad.

Kilichoziangusha hizi timu Arsenal imeanguka kwa kukosa mwalimu sahihi ila wachezaji wazuri bado wanazalisha kama ilivyokuwa zamani.

Kilichowaangusha Man united ni kukosa succession plan nzuri iliyopelekea recruitment mbovu ya benchi la ufundi na wachezaji kwa miaka 6 mfululizo.

Tuendelee kuwa wavumilivu mpaka tutakapouona tena mkono wa bwana.
umeandika pumba hujui mpira + mahaba, unazungumzia mwalimu sahihi while Arteta miezi 7 tayari ana taji,wewe wako ana nini kwa muda wote au kufuzu Uefa?
 
Alafu haka kaugonjwa kakuwaona wenzio hawajielewi, hawajui lolote unako sana,
Hakatokufikisha popote,
Humu hatujuani personally, waweza mwambia mtu 'hajielewi' kumbe ndio shemeji yako aliyekupa hifadhi na hako ka-smartphone unachotumia kutema huo upupu
Kubali umekosea pumba ww..usitafute njia za kujustfy ujinga wako
 
Wakuu mmeona lineUo ya leo!? Twitter acc wameshaipost..kimsingi thats how it supposed to be.

Bruno na pogba waingie late sana wakafanye mambo
 
Line up yetu
manchesterunited___CDhDpZFgl60___.jpeg
 
Aisee jamaa amecheza mechi nyingi sana, labda Ole anataka aweke stability halafu baadae hata second half ndio amtoe

Maana naona kabadili wachezaji wengi sana, hawezi kubadili timu nzimu
Huyu Maguire hapumzishwi jamani?..Angetuwekea Teden Mengi,aache uoga bhana
 
Oi..Mancity ameshamchukua NATHAN AKE huko..Sky sport wamepost sasahivi

Sisi man u ngoja tuendelee kunawa mikono kwa maji tiririka na kuvaa barakoa.
 
Back
Top Bottom