Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,697
- 32,447
Fred,Matic na Scot are not average playersPoint yangu ilikuwa ni kuwa-offload na kureplace na walio bora,otherwise tutakuwa timu ya full flops na average players
Fred,Matic na Scot are not average playersPoint yangu ilikuwa ni kuwa-offload na kureplace na walio bora,otherwise tutakuwa timu ya full flops na average players
Suala la injury ni sehemu ya mchezo hatuwezi kumuacha mchezaji benchi kwa kuhofia asipate injury wakati kazi yake ni kucheza mkuuHadi Pogba?,akipata injury kwenye hizi mechi uchwara tuanze tena kulialia..
Sawa mkuu,ngoja tuone kesho hiyo
Kwenye mpira lolote linawezekanaNever on earth!! Yani watufunge sita wale jamaa![]()
Toka December Pogba alikuwa hajacheza kacheza mechi hizi tu baada ya lockdown anapumzishwa nini ?Pogba hatacheza hata akicheza hatacheza dkk 90 lazima apumzishwe kwa ajili ya msimu ujao..hii game tumeshashinda goli 5 haina haja ya kurisk wachezaji wetu muhimu
Msimu ujao wa EPL unaanza ndani ya wiki nane zijazo..na kuna uwezekano wa sisi kufika moaka fainali na pia kucheza UEFA SUPER CUP!! we need our players to rest to avoid unnecessary injuries
Mchezaji lazima alindwe..it would be stupid kama pogba akapata hamstring(6-8 weeks nje) kwenye ambayo haikuwa na ulazima yeye kucheza..! Mctominay,fred,pereira,lingard wanaweza kucover nafasi yake kwny mechi ya kesho..Toka December Pogba alikuwa hajacheza kacheza mechi hizi tu baada ya lockdown anapumzishwa nini ?
Ni heri Pogba acheze ili aendelee kupata match fitness.
Itakuwa ni ujinga zaidi kumweka benchi kwa kuogopa asipate injury.Mchezaji lazima alindwe..it would be stupid kama pogba akapata hamstring(6-8 weeks nje) kwenye ambayo haikuwa na ulazima yeye kucheza..! Mctominay,fred,pereira,lingard wanaweza kucover nafasi yake kwny mechi ya kesho..
Kuwa sensible kidogo basi na ww.
Kama ni kusajili kwenye midfield ni kwajili ya backups tu na squad depth.Wa kucheza.
Unavyoona UTD imekamilika kwenye midfield!?
I've realized we jamaa hujui mpira..Kama ni kusajili kwenye midfield ni kwajili ya backups tu na squad depth.
Ukiondoa Matic tu wachezaji wengine wote wanaocheza midfield kwenye bench ni CMs na wote wameprove kucheza CM vizuri tu.
Ngoja nikupe fact maana hujielewi..Itakuwa ni ujinga zaidi kumweka benchi kwa kuogopa asipate injury.
Hamstring anaweza kuipata mazoezini kutokucheza kunapunguza match fitness kwa wachezaji kwanini turisk kuwa na wachezaji ambao hawana match fitness ?
Mkuu hili la kocha kuwalinda wachezaji ndo nimekuwa nalizungumzia hapa tangu mchana ila kuna jamaa anabisha hapa etiOle kuelekea hapa tunapomaliza msimu anapaswa kuwa makini sana kupita maelezo, asilete tamaa sana ya kukamia mechi hizi za Europa msimu mpya unaanza wiki nne zijazo.
Anapaswa kuwalinda Pogba, Bruno, Rashford, Martial na Greenwood kama tukipindua msimu hata na mmoja akiwa na majereha naona kabisa tukizingua mapema kabisa kama msimu uliopita. Kilichotugharimu msimu uliopita tulipatwa na majeraha na wachezaji wetu muhimu sana mwanzoni kabisa mwa msimu.
Alianza Martial baadae akafuata Pogba katikati ya msimu akaumia Rashford ukiangalia vizuri graph yetu ya performance iliathiriwa sana vipindi walipokosekana hawa kwa kipindi kile. Hivyo, kwa sasa sioni haja ya msingi sana sisi kushinda Europa unless nafasi ijilete wazi wazi ila hatupaswi kutumia nguvu kubwa sana kwa sasa wakati ligi itaanza muda sio mrefu. Covid-19 imeharibu mahesabu kwa sasa tucheze soft tu kumaliza msimu.
Target yetu iwe EPL na Uefa kwa msimu ujao. Chonde chonde narudia tena hatuna haja ya kukamia kwa sasa unless Europa ijilete kilaini laini tumeshamaliza msimu succefully kwa kufikia target ya kuingia top 4. Tunapaswa kuwalinda hawa watu watano; Greenwood, Martial, Rashford, Bruno na Pogba hawa ndo roho ya timu wengine wanajazilishia tu.







Umeenda mbali sn bosi, ni suala la kueleweshana tu.I've realized we jamaa hujui mpira..
Siwezi kubishana na watu km ww.goodnight
Mkuu heshimu watu usiowajua hili la hujielewi na blah blah zingine haziongezi uzito wowote kwenye hoja yako zaidi ya kukudhalilisha wewe mwenyewe binafsi.Ngoja nikupe fact maana hujielewi..
Rashford aliumua mgongo(double stress fracture) kwny match vs Wolves ambapo haikuwa necessary yeye kucheza and bcoz of that OGS fell under heavy critisim cuz kama kocha ameshindwa kumlinda mchezaji wake cuz jamaa alikuwa anamiss msimu mzima(thanks to corona virus ilisababisha ligi iwe postponed)
Huo ni mfano ninaotumia kuelezea point yangu hapo juu..kwmaba we dont need to exppose our valuable players aganst LASK!!
Ukiendelea kubisha wewe bisha.
am done.!
Mchezaji kuumia mchezoni ni sehemu ya kazi yake na ni bahati mbaya huwezi kumweka benchi kwa kuogopa atapata injury kwani mchezaji kasajiliwa kwajili ya kukaa Benchi asipate injury ?Ngoja nikupe fact maana hujielewi..
Rashford aliumua mgongo(double stress fracture) kwny match vs Wolves ambapo haikuwa necessary yeye kucheza and bcoz of that OGS fell under heavy critisim cuz kama kocha ameshindwa kumlinda mchezaji wake cuz jamaa alikuwa anamiss msimu mzima(thanks to corona virus ilisababisha ligi iwe postponed)
Huo ni mfano ninaotumia kuelezea point yangu hapo juu..kwmaba we dont need to exppose our valuable players aganst LASK!!
Ukiendelea kubisha wewe bisha.
am done.!
Just piga kimya..cuz unaelezewa lkn huelewi..so stop quoting me and am not gonna quote u..simple!Mkuu heshimu watu usiowajua hili la hujielewi na blah blah zingine haziongezi uzito wowote kwenye hoja yako zaidi ya kukudhalilisha wewe mwenyewe binafsi.
Mtazamo wako haupaswi kuwa standard test ya mitazamo ya wengine ebboh.
Nimekuuliza akipata hamstring mazoezini itakuwaje ?
Inawezekana but its boring ambapo unamuelewesha m2 for more than 2-3hrs lkn anakuongelea v2 vya ajabu..Umeenda mbali sn bosi, ni suala la kueleweshana tu.



